Ray Kigosi: Huu ni weupe wa maji (Ununuzi wa maji waongezeka mjini)

Ray Kigosi: Huu ni weupe wa maji (Ununuzi wa maji waongezeka mjini)

Huo ni mkorogo kabisa, weupe wake feki, kaona aibu kusema kweli akaamua kunena hayo ili kuepuka aibu, ni sawa na Yule wa mimba feki sasa anasema imetoka....bongo bhana! Kuna raha zake wee-wee...
 
b0be885fdea3dd460b3415154d75ac0e.jpg
 
Umepita mitandaoni huko hivi karibuni? Huyu ana kidumu, tank, ndoo, jaba wooote wanakunywa majiii, eti kisa Ray Kigosi kasema yeye hajichubui ila anafanya sana mazoezi na kunywa MAJI MENGI, hivyo watu wanakunywa maji ili wawe weupe kama yeye, aiseeeeee nadhan hata yeye atakuwa anacheka akiangalia baadhi ya picha
 
Yeu
Umepita mitandaoni huko hivi karibuni? Huyu ana kidumu, tank, ndoo, jaba wooote wanakunywa majiii, eti kisa Ray Kigosi kasema yeye hajichubui ila anafanya sana mazoezi na kunywa MAJI MENGI, hivyo watu wanakunywa maji ili wawe weupe kama yeye, aiseeeeee nadhan hata yeye atakuwa anacheka akiangalia baadhi ya picha
Wiki auwiiii yelewiiii, uwiii uwiiii auwiii, kelewiiii
 
Umepita mitandaoni huko hivi karibuni? Huyu ana kidumu, tank, ndoo, jaba wooote wanakunywa majiii, eti kisa Ray Kigosi kasema yeye hajichubui ila anafanya sana mazoezi na kunywa MAJI MENGI, hivyo watu wanakunywa maji ili wawe weupe kama yeye, aiseeeeee nadhan hata yeye atakuwa anacheka akiangalia baadhi ya picha
3c31d4d48a077695de5ad0d7d4727194.jpg

Na huyu nae mpeni somo hilo ili anywe maji galoni ngapi[emoji12] [emoji12]
 
Ray ni mwanalizombe au ni mjukuu wa kinjekitile?Team majimaji ua Songea.
 
Back
Top Bottom