Ray Kigosi: Huu ni weupe wa maji (Ununuzi wa maji waongezeka mjini)

Ray Kigosi: Huu ni weupe wa maji (Ununuzi wa maji waongezeka mjini)

kwani na wewe unataka kuwa mweupe ??
 
ed0e6b274d5bf5b4f8c2fe86eca01bc2.jpg



49a8803ea208195f8b8d6a039de50044.jpg
duh huyo hapo ni Eminem akiwa na maghetto kids ya black america miaka ya 80s
 
Nina siku 3 tangu nianze dozi, nakunywa maji lita 10 kwa siku nimeanza kutakata...
 
Mimi nina mawazo tofauti kidogo. Hivi kama background yako ilikuwa kushinda na kutembea juani,then mambo yanabadilika unaanza kutembea na kukaa kwenye gari,ofisi,nyumba full AC unafikiri utakuwa na rangi ile ile ya kupigwa na jua??? Hamjaona watu wakitoka bongo na kwenda mtoni wakirudi wanakuwaje?

Mimi binafsi nikiangalia picha zangu wakati niko mtoni na sasa hivi ni tofauti kabisa, nimekuwa mweusi pamoja na kwamba sitembei hovyo juani ila mazingira tu ya kibongobongo vumbi kibao unajikuta rangi inafifia.

My point,unaweza kuonekana mweusi ila ukiwa expsosed na mazingira fulani ngozi inang'aa bila kujichubua ni kawaida, hata nyinyi mnaopinga wengine tukiona picha zenu wakati mko vijijini sio kama mnavyong'aa leo.
Hiyo ni kweli kabisa mkuu, hata mimi nikiwa majuu nakua mweupe na ngozi inakua laini, lkn nikija bongo hiyo rangi inatoweka. Ni afadhali nikikaa mikoani kama Mbeya, Arusha au kigoma.
 
Mi nimeliongelea hili ili kuwafanya watu wabadilike kwa waliofanya hivyo na kusoma hapa nadhani next time ikitokea issue ya kitoto kama hiyo hawatakuwa busy nayo ukiingia kwenye mitandao ya kijamii mpaka leo bado ndio topic.
Mkuu, usiwe na mawazo mabaya kuhusu huu uzi, ameua ndege wawili kwa jiwe moja. 1 watu wanakunywa maji kwa wingi ambayo ni faida kwa afya zao, 2 wauza maji wamefanya mauzo maradufu hivyo watalipa kodi ya mapato. Pia ukumbuke kazi na dawa, mtu baada ya kazi ya siku nzima, u nahitaji kiburubisho. Ambacho kwa siku hizi ni mitandaoni. Usidhini kamba watanzania hawana akili au hawawezi kufikiri kwakua wamejadili weupe wa mtu.
 
Team@haters hata ufanye kizuri namna gani bongo lazima watu wakudis noma sana ndo maana hatuendelei kisa majungu
 
Back
Top Bottom