PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Leo katika kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na post za kijana wa kiume ambazo zinamuhusu msanii Raymond wa wasafi,post za kijana huyo ni tata kiasi kwamba nilishindwa kufahamu kijana huyo anauhusiano gani na msanii huyo wa wasafi?post za huyo kijana ni hizi hapa kama zilivyopostiwa na Huyo kijana maana inaonyesha wanafahamiana!
View attachment 393394