Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugwe! Hiyo ni lugha ya mondi ila hata Rwanda na Burundi ni hivyo hivyo.
NyaniNani amekuuliza?
EP mbili, na album kamili moja, so soon utaomba poo[emoji85][emoji85][emoji85]
Soon, si umeona mbosso
Kwahiyo Wanyarwanda ukiwaambia goli kafunga Boko lazima waseme mmebebwa au sio!Amaboko ni neno la kinyarwanda kwa kiswahili likiwa na maana ya mikono.
Hater.
USINIFOKEE.Mkuu halafu acha kiherehe chako kuripoti hata mods wamekuchoka,jana umejitahidi kureport ,usiwe kama monita wa darasa la pili kudeka kila saa
USINIFOKEE.
hata kwa kinyakyusa lina maana hiyohiyo, amabhoko. Na rayvany ni mnyakyusaAmaboko ni neno la kinyarwanda kwa kiswahili likiwa na maana ya mikono.
hata kwa kinyakyusa lina maana hiyohiyo, amabhoko. Na rayvany ni mnyakyusa
sie team ushindi(wcb) tunafuraha daily bt nyie team kushindwa(konde & kiba) furaha yenu ni ya msimu, leo umecoment kistarabu nadhani hadi mods wanashangaaaAmaboko ni neno la kinyarwanda kwa kiswahili likiwa na maana ya mikono.
sie team ushindi(wcb) tunafuraha daily bt nyie team kushindwa(konde & kiba) furaha yenu ni ya msimu, leo umecoment kistarabu nadhani hadi mods wanashangaaa
dada angu ninakupenda sana bt hata sijui kwa nini unafuga chuki hivo? aliebarikiwa kabarikiwa tu hata umchukie vipi hawezi pungukiwa, alafu mungu alivyo wa ajabu huyo mnaemwita domo kambarikia zaidi ili hater muendelee kuteseka daima.Team WCB kuna siku mnashangaza hadi domo mwenyewe anawashangaa
dada angu ninakupenda sana bt hata sijui kwa nini unafuga chuki hivo? aliebarikiwa kabarikiwa tu hata umchukie vipi hawezi pungukiwa, alafu mungu alivyo wa ajabu huyo mnaemwita domo kambarikia zaidi ili hater muendelee kuteseka daima.
nb: mambo mazuri yote yanapatikana wcb, nje ya wcb kunapatikana utopolo pekee.
Wait ntakutumia dmNaomba links nikashuhudie uzinduzi wa hizo EP mbili na albam moja
Basi haufuatiliiSijaona kapata ubalozi upi?
Jitoe jfMkuu halafu acha kiherehe chako kuripoti hata mods wamekuchoka,jana umejitahidi kureport ,usiwe kama monita wa darasa la pili kudeka kila saa
Acha uongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Team WCB kuna siku mnashangaza hadi domo mwenyewe anawashangaa
wenye chuki hua hawafanikiwi, wcb team na fans wake wote wanaroho nzuri ndo maana wanachanja mbuga daily tofauti na nyie team chuki, mambo kwenu daily yanawachachia.Wajinga ndio mna akili hizo chuki mnazo nyie bado mnataka kila mtu awashobokee. Misukule bana