Rayvanny afunguka kuhusu Harmonize, Paula, lebo ya NextLevel na mengine kuhusu muziki wake

Rayvanny afunguka kuhusu Harmonize, Paula, lebo ya NextLevel na mengine kuhusu muziki wake

Baada ya kufatilia hili sakata linaloendelea kati ya Harmonize (KondeGang) na Rayvany (Wasafi) maoni yangu ni kwamba Wasafi wameshinda hii battle ingawa kwa jicho la kawaida unaweza usigundue. Nachoona hapa Wasafi lengo lao Kubwa ni kuihamisha hii bifu ya Harmonize dhidi ya Diamond, na kuipeleka kwa Harmonize dhidi ya Rayvany kwakuwa waliona Diamond hanufaiki na bifu hilo, ila kwa Rayvanny itamsaidia kukua zaidi huku Harmonize akibaki palepale au kushuka.
Una point lakini hii sio planned mzee ,,unachokisema wewe kinakuja kama faida tu baada ya yote kutokea
 
Simtetei Rayvany ila harmonize is the dumbest person ever. Wa kuropoka ropoka ovyo na ukosefu wa shule unachangia. Toka awe anaropoka mambo ya Diamond na zari enzi hizo bila kuulizwa, nikaona huyu sio. Idiot
 
Simtetei Rayvany ila harmonize is the dumbest person ever. Wa kuropoka ropoka ovyo na ukosefu wa shule unachangia. Toka awe anaropoka mambo ya Diamond na zari enzi hizo bila kuulizwa, nikaona huyu sio. Idiot
Clueless14 pia ana kipaji Cha unafiki hii pia amezungumza Rich mavoko kwamba Harmonize amechangia kiasi kikubwa yeye kuachana na Wcb alikuwa akipeleleka maneno ya uchochezi kwa uongozi wa Wasafi
 
Hilo Nyakyusa halina akili..mashabiki wako ni wa Mondi..Toka Wasafi tuone
Ni sawasawa na wewe uwe na maisha mazuri then one jealous asshole akulalamikie kuwa unajidai kusomesha watoto shule nzuri na za gharama kwa kuwa uko kwenye kampuni/organisation inayolipa vizuri acha kazi ukawe mwalimu wa shule ya kata kijijini au uanzishe genge la nyanya mtaani kwenu eti ili waone kama utamudu kugharamia standard ya maisha kama unayoishi.Very stupid challenge.

Yeye kudumu kwenye label na ku maintain mafanikio ni akili kubwa na anafanyia maisha yake siyo aingie kwenye stupid challenges kuwaridhisha haters.
 
Ni sawasawa na wewe uwe na maisha mazuri then one jealous asshole akulalamikie kuwa unajidai kusomesha watoto shule nzuri na za gharama kwa kuwa uko kwenye kampuni/organisation inayolipa vizuri acha kazi ukawe mwalimu wa shule ya kata kijijini au uanzishe genge la nyanya mtaani kwenu eti ili waone kama utamudu kugharamia standard ya maisha kama unayoishi.Very stupid challenge.
Yeye kudumu kwenye label na ku maintain mafanikio ni akili kubwa na anafanyia maisha yake siyo aingie kwenye stupid challenges kuwaridhisha haters.
Wabongo vichwa vyao vimejaa maji tu. Ingekuwa na wamarekani wanafikiria kama wabongo leo lable kubwa zote zisingekuwa na wasanii wakubwa, kwanza wasanii wao wakubwa wote bado wanataka kufanya kazi na hizo lable. Hata kama mimi ni msanii kwa Tanzania WCB ni lable kubwa siwezi kutoka tu sababu ya wajinga wachache wanasema nitoke. Bongo bado watu wanafikiri kuhama lable ni kama kuhama nyumbani na kwenda kujitegemea.
 
Hilo Nyakyusa halina akili..mashabiki wako ni wa Mondi..Toka Wasafi tuone
Screenshot_20210415-180223_Twitter.jpg
 
Kuhusu nani kamzidi hiyo sio big issue ila konde anajipotezea deal nyingi hapa sababu konde nje ya mipaka hafanyi vizur kimauzo ukilinganisha na team wcb achange kalata zake vzr endorsement ni wepesi kukukacha
Huyo konde kapotezwa sana na Ray, sema konde
anakuwa na roho ya kwanini mwenzangu anifunike? Kama analazamisha game liwe pana
Lkn amechelewa na ndo amejimaliza ki mziki
 
Tuhuma za unafiki alishazisemea pia Rich mavoko , Konde ni wa kupiga nyundo kabisa Yule si wa kumhurumia , Bora umnyanyue Marioo kuliko huyo mtu pori
Atakuwa ana roho ya kwanini
 
Back
Top Bottom