Rayvanny ajenga nyumba kisha aichoma moto

Rayvanny ajenga nyumba kisha aichoma moto

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
CEO wa Next level music ambaye pia ni msanii wa lebo namba moja Africa ya Wasafi, Rayvanny aka Chui amejenga nyumba kisha kuiteketekeza kwa moto ili kupata uhalisia wa video yake mpya ya wimbo wa I miss you.

Ukitazama video hiyo utaona kuna scene ya nyumba inaungua basi ile nyumba ilijengwa kwa shughuli hiyo tu.

Biashara ya muziki ni sayansi wengine wajifunze.

IMG-20220601-WA0006.jpg

 
CEO wa Next level music ambaye pia ni msanii wa lebo namba moja Africa ya Wasafi, Rayvanny aka Chui amejenga nyumba kisha kuiteketekeza kwa moto ili kupata uhalisia wa video yake mpya ya wimbo wa I miss you.

Ukitazama video hiyo utaona kuna scene ya nyumba inaungua basi ile nyumba ilijengwa kwa shughuli hiyo tu.

Biashara ya muziki ni sayansi wengine wajifunze.
View attachment 2246804
Rayvanny si alishaondoka Wasafi, amerudi tena ?
 
CEO wa Next level music ambaye pia ni msanii wa lebo namba moja Africa ya Wasafi, Rayvanny aka Chui amejenga nyumba kisha kuiteketekeza kwa moto ili kupata uhalisia wa video yake mpya ya wimbo wa I miss you.

Ukitazama video hiyo utaona kuna scene ya nyumba inaungua basi ile nyumba ilijengwa kwa shughuli hiyo tu.

Biashara ya muziki ni sayansi wengine wajifunze.
View attachment 2246804
Basi ana video shooters/editors wabovu. Hiyo ni effect unaweza itengeneza kwenye editing software bila kufanya huo ujinga!

NB: Mbona hujaweka picha za nyumba ikiwa inajengwa?
 
Back
Top Bottom