sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
CEO wa Next level music ambaye pia ni msanii wa lebo namba moja Africa ya Wasafi, Rayvanny aka Chui amejenga nyumba kisha kuiteketekeza kwa moto ili kupata uhalisia wa video yake mpya ya wimbo wa I miss you.
Ukitazama video hiyo utaona kuna scene ya nyumba inaungua basi ile nyumba ilijengwa kwa shughuli hiyo tu.
Biashara ya muziki ni sayansi wengine wajifunze.
Ukitazama video hiyo utaona kuna scene ya nyumba inaungua basi ile nyumba ilijengwa kwa shughuli hiyo tu.
Biashara ya muziki ni sayansi wengine wajifunze.