Rayvanny ajenga nyumba kisha aichoma moto

Rayvanny ajenga nyumba kisha aichoma moto

Basi ana video shooters/editors wabovu. Hiyo ni effect unaweza itengeneza kwenye editing software bila kufanya huo ujinga!

NB: Mbona hujaweka picha za nyumba ikiwa inajengwa?
Kweli mkuu hata mimi sidhani kafanya hivyo, ila movie nyingi siku hizi wanafanya kweli maana watu siku hizi wanahundua effects kwa urahisi. Mfano movie za fast and furious 7 yale magari yalidondoshwa kweli kutoja kwenye ndege. Kuja vitu vingine vinajengwa kweli unakuta upande tu labda.
Science ya movie ni pana sana aisee, leo nimeona wanatengeneza movie flani kuna scene gari zinafukuzana paris, yani ule uongo walioweka pale nimesema watu wana akili sana
 
Kwa akili hizi za vijana acha CCM waendelee kutupiga hela zetu.
 
Wewe
Dah! Nilikuwa na usingizi, wote umekata!

Hautakiwi kusema, eti siku hizi hali ni ngumu, sema, "Mimi nina hali ngumu!"
kachukua picha za mamtoni huko anakuja kudangnya watu. Angalia kuanzai wanaoshangaa, gari la polisi na fire, vyote ni vya kwa wazung
 
Acheni kudanganywa nyie, huyo dogo hana makazi yanayo julikana nasikia anaishi ofisini kwake…..
Tabia ya kupenda kusikia sikia info za wanaume , utakuja kushikishwa ukuta pasipo kutegemea.
 
Tabia ya kupenda kusikia sikia info za wanaume , utakuja kushikishwa ukuta pasipo kutegemea.
wee shogaa kafie mbele na hiyo biashara yako ya kimchele mchele, unalazimisha kuingiziwa nyama?? pumbafuu wee, kwa taarifa yako hapa ume press wrong button...…..
 
wee shogaa kafie mbele na hiyo biashara yako ya kimchele mchele, unalazimisha kuingiziwa nyama?? pumbafuu wee, kwa taarifa yako hapa ume press wrong button...…..
Utashikishwa ukuta ukiendelea na tabia yako ya kufuatilia yasiyokuhusu.
 
Back
Top Bottom