American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
It's a lie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tazama video kuanzia dk ya 5.23
Kweli mkuu hata mimi sidhani kafanya hivyo, ila movie nyingi siku hizi wanafanya kweli maana watu siku hizi wanahundua effects kwa urahisi. Mfano movie za fast and furious 7 yale magari yalidondoshwa kweli kutoja kwenye ndege. Kuja vitu vingine vinajengwa kweli unakuta upande tu labda.Basi ana video shooters/editors wabovu. Hiyo ni effect unaweza itengeneza kwenye editing software bila kufanya huo ujinga!
NB: Mbona hujaweka picha za nyumba ikiwa inajengwa?
kwaiyo kumbe tukio sio halisi 👏Its so sad polisi wetu bado hawaruhusu gari zao au gwanda zao kutumika kwenye sanaa yetu. Hiyo gari imewekwa stika tu hapo kupata uhalisia wa tukio
Kwanza serikali isingekubali huo upuuzi maana unahatarisha maisha ya wengine.Wanatuona sisi ni wapumbavu.
Hata haya huna tuoneshe nyumba hiyo kabla haijaungua au anza kuunguaNdio kaka
kachukua picha za mamtoni huko anakuja kudangnya watu. Angalia kuanzai wanaoshangaa, gari la polisi na fire, vyote ni vya kwa wazungDah! Nilikuwa na usingizi, wote umekata!
Hautakiwi kusema, eti siku hizi hali ni ngumu, sema, "Mimi nina hali ngumu!"
Tazama video kuanzia dk ya 5.23
Mbona page yake ya insta kafuta ile sehemu ya kusema amekuwa signed under wasafi?Hajawai kuondoka Wasafi, hizo ni wishes tu za vijana wachawi.
Tabia ya kupenda kusikia sikia info za wanaume , utakuja kushikishwa ukuta pasipo kutegemea.Acheni kudanganywa nyie, huyo dogo hana makazi yanayo julikana nasikia anaishi ofisini kwake…..
wee shogaa kafie mbele na hiyo biashara yako ya kimchele mchele, unalazimisha kuingiziwa nyama?? pumbafuu wee, kwa taarifa yako hapa ume press wrong button...…..Tabia ya kupenda kusikia sikia info za wanaume , utakuja kushikishwa ukuta pasipo kutegemea.
Utashikishwa ukuta ukiendelea na tabia yako ya kufuatilia yasiyokuhusu.wee shogaa kafie mbele na hiyo biashara yako ya kimchele mchele, unalazimisha kuingiziwa nyama?? pumbafuu wee, kwa taarifa yako hapa ume press wrong button...…..
Tazama video kuanzia dk ya 5.23
Wakikupa hizo unijuze mkuuLeta picha za ujenzi wa hiyo "nyumba"