Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Hata hujamuelewa, amemaanisha hicho ni kitu kinafanyika ndani ya software ya ku edit video akatoa mfano wa software kama After effects.Tazama video kuanzia dk ya 5.23
Unataka picha ya nyumba ikiwa inajengwa? Basi subiri behind the scenes. Nakushauri tu punguza ujuaji kwa kitu usichokielewa vizuri.Basi ana video shooters/editors wabovu. Hiyo ni effect unaweza itengeneza kwenye editing software bila kufanya huo ujinga!
NB: Mbona hujaweka picha za nyumba ikiwa inajengwa?
Kama bongo movie au vp 😃😃Hata hujamuelewa, amemaanisha hicho ni kitu kinafanyika ndani ya software ya ku edit video akatoa mfano wa software kama After effects.
Kwa kutumia hiyo software mtu anaweza kuku edit hata wewe ukatoka unawaka moto kichwani.
Mwanangu we ni kiaziCEO wa Next level music ambaye pia ni msanii wa lebo namba moja Africa ya Wasafi, Rayvanny aka Chui amejenga nyumba kisha kuiteketekeza kwa moto ili kupata uhalisia wa video yake mpya ya wimbo wa I miss you.
Ukitazama video hiyo utaona kuna scene ya nyumba inaungua basi ile nyumba ilijengwa kwa shughuli hiyo tu.
Biashara ya muziki ni sayansi wengine wajifunze.
View attachment 2246804
Leta picha za ujenzi wa hiyo "nyumba"
KikiCEO wa Next level music ambaye pia ni msanii wa lebo namba moja Africa ya Wasafi, Rayvanny aka Chui amejenga nyumba kisha kuiteketekeza kwa moto ili kupata uhalisia wa video yake mpya ya wimbo wa I miss you.
Ukitazama video hiyo utaona kuna scene ya nyumba inaungua basi ile nyumba ilijengwa kwa shughuli hiyo tu.
Biashara ya muziki ni sayansi wengine wajifunze.
Nakazia..Na Video ni mbovu kwa u bongo movie wao story aija kaa poa
Acheni kudanganywa nyie, huyo dogo hana makazi yanayo julikana nasikia anaishi ofisini kwake…..
Tz mko vizur moto kidogo mara polisi mara ambulance mara fireCEO wa Next level music ambaye pia ni msanii wa lebo namba moja Africa ya Wasafi, Rayvanny aka Chui amejenga nyumba kisha kuiteketekeza kwa moto ili kupata uhalisia wa video yake mpya ya wimbo wa I miss you.
Ukitazama video hiyo utaona kuna scene ya nyumba inaungua basi ile nyumba ilijengwa kwa shughuli hiyo tu.
Biashara ya muziki ni sayansi wengine wajifunze.
Sheria za nchi yetu ukichoma moto nyumba ni KIFUNGO CHA MIAKA 30. Acheni uongo usio na maana