Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapomuongelea CEO wa kampuni kubwa ya muziki uwe na adabu.Kiukweli msanii rayvanny mziki wake au kile anacho kiimba kimechokwa kwakweli yaani staili niile ile habadiliki anaimba utoporo tu
Fatilia nyimbo yake korona,kifo, nyimbo zake zinachosha kusikilizwa kwa kweli
Mkuu wamekupiga ban kisa nn boss, majukwaa ya siasa Yana wenyewe hayo ....Unapomuongelea CEO wa kampuni kubwa ya muziki uwe na adabu.
Man naona banned, umemchokoza nani huko?Unapomuongelea CEO wa kampuni kubwa ya muziki uwe na adabu.
Kiukweli msanii rayvanny mziki wake au kile anacho kiimba kimechokwa kwakweli yaani staili niile ile habadiliki anaimba utoporo tu
Fatilia nyimbo yake korona,kifo, nyimbo zake zinachosha kusikilizwa kwa kweli
Kiukweli msanii rayvanny mziki wake au kile anacho kiimba kimechokwa kwakweli yaani staili niile ile habadiliki anaimba utoporo tu
Fatilia nyimbo yake korona,kifo, nyimbo zake zinachosha kusikilizwa kwa kweli
Kuna watu walinivuruga walikuwa wanamtukana jembe langu Magufenga, nilipita uko kuwanyoosha kidogo. But nishatoka uko utawala wa mama waneshakaaMkuu wamekupiga ban kisa nn boss, majukwaa ya siasa Yana wenyewe hayo ....
Sawa chief karbu Sana ustadhiKuna watu walinivuruga walikuwa wanamtukana jembe langu Magufenga, nilipita uko kuwanyoosha kidogo. But nishatoka uko utawala wa mama waneshakaa
Mkuu kumbe we li-TAGA.Kuna watu walinivuruga walikuwa wanamtukana jembe langu Magufenga, nilipita uko kuwanyoosha kidogo. But nishatoka uko utawala wa mama waneshakaa
Tagaboy huyoMkuu kumbe we li-TAGA.
Yeah mie chama dola, chama la wenye mafanikio.Mkuu kumbe we li-TAGA.