Rayvanny alitumia chance aliyoipata WCB

Rayvanny alitumia chance aliyoipata WCB

Koroooonaa koroona kwa voice ya rayvany
 
Kiukweli msanii rayvanny mziki wake au kile anacho kiimba kimechokwa kwakweli yaani staili niile ile habadiliki anaimba utoporo tu
Fatilia nyimbo yake korona,kifo, nyimbo zake zinachosha kusikilizwa kwa kweli
Unapomuongelea CEO wa kampuni kubwa ya muziki uwe na adabu.
 
Unapomuongelea CEO wa kampuni kubwa ya muziki uwe na adabu.
Kifupi lebo yake itambeba kutokana na wasanii atako beba lkni yey kama yeye uwezo tumesha uona maproducer
 
Ukimponda hujampunguza kitu bali umempromote
Kiukweli msanii rayvanny mziki wake au kile anacho kiimba kimechokwa kwakweli yaani staili niile ile habadiliki anaimba utoporo tu
Fatilia nyimbo yake korona,kifo, nyimbo zake zinachosha kusikilizwa kwa kweli
 
Kiukweli msanii rayvanny mziki wake au kile anacho kiimba kimechokwa kwakweli yaani staili niile ile habadiliki anaimba utoporo tu
Fatilia nyimbo yake korona,kifo, nyimbo zake zinachosha kusikilizwa kwa kweli

wako wanaompenda hivyo hivyo

binafsi, no
 
Mkuu wamekupiga ban kisa nn boss, majukwaa ya siasa Yana wenyewe hayo ....
Kuna watu walinivuruga walikuwa wanamtukana jembe langu Magufenga, nilipita uko kuwanyoosha kidogo. But nishatoka uko utawala wa mama waneshakaa
 
Back
Top Bottom