Rayvanny amjibu Harmonize kuhusu BET

Rayvanny amjibu Harmonize kuhusu BET

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,519
Reaction score
2,055
Habari Wana Jf.

Hili alilolifanya Rayvanny naona Yuko sahihi kabisa maana now days Harmonize hasikiki na ndio maana anaangaika mchana na usiku kutafuta Kiki ili aongelewe lakini wapi.

Kiukweli Kama Harmonize ni mkubwa angekuwa na BET au tuzo kubwa yeyote Kama RAYVANNY CHUI.

Pia lingine sikuona Kama Kuna haja ya yeye kujibu Kama hakupendezwa kwa Diamond platnumz angekaa kimya tu kuliko kutafuta Busta kwa baba Yake kimuziki.

Harmonize inabidi ampite Rayvanny kwanza ndio aende kushindana na Diamond Platinumz.

N.B Harmonize wewe bado underground Sana kwa Rayvanny na Diamond Platinumz.
1622453318363.png

 
Naunga mkono hoja , na pia Rayvanny afanye haraka kumsaini mwanamziki atakayemjibu dogo ibrah mana kamemganda Vannboy kama kupe wakati kananuka mdomo tuu[emoji23][emoji39]
 
Hivi BET aliyopata Rayvanny kuna msanii mwingine aliwahi kupewa. Ni kama kilikuwa kituzo cha kuchonga ila jamaa anavyo ki-hype unaweza kudhani ni tuzo ya maana sana.

Tuzo za BET walizowahi kupata Eddy Kenzo, Black Coffee, Davido, Wizkid ni tofauti kabisa na hiyo aliyopewa Rayvanny.

Ya Rayvanny ilikuwa ni viewers choice ambayo haijawahi kutolewa tena maana haikuwa na issue yoyote.

Wasanii wamekuwa too obssessed Tuzo yaani mpaka kina Karen naona wameenda kupewa Tuzo huko Zambia🤣 yaani ni ilimradi mtu aonekane ana tuzo.

Kina Rayvanny watulie tu, wanafanya muziki kipindi ambacho Tuzo nyingi zimekufa then, it's okay.

Hiyo BET Diamond amewahi kuingia mara kibao lakini hajawahi kushinda.

Kwani tuzo ya BET ni big deal kihivyo? Tena BET viewers choice🤣

Tuzo yenyewe ni ile ya kipengele kisicho na hadhi hata ya kuonyeshwa kwenye live show!

Shaking my damn head!!
 
Naunga mkono hoja , na pia Rayvanny afanye haraka kumsaini mwanamziki atakayemjibu dogo ibrah mana kamemganda Vannboy kama kupe wakat kananuka mdomo tuu[emoji23][emoji39]
Na ndio inavyotakiwa Rayvanny asaini haraka msanii wakujibizana na ibraah ili ngoma inoge
 
Naunga mkono hoja , na pia Rayvanny afanye haraka kumsaini mwanamziki atakayemjibu dogo ibrah mana kamemganda Vannboy kama kupe wakat kananuka mdomo tuu[emoji23][emoji39]
Na ndio inavyotakiwa Rayvanny asaini haraka msanii wakujibizana na ibraah ili ngoma inoge
 
Hivi BET aliyopata Rayvanny kuna msanii mwingine aliwahi kupewa. Ni kama kilikuwa kituzo cha kuchonga ila jamaa anavyo ki-hype unaweza kudhani ni tuzo ya maana sana.
Kwani zilipokuwepo na hao si walikuepo why hawakuchukua...? Kama hawakuchukua na Rayvanny kachukua na Ni BET why asijivunie, okay apart from BET Kuna msanii gani anamzidi nomination na tuzo ukitoa Diamond platinumz...?

RAYVANNY 1 NI HARMONIZE 3 JUMLISHA NA IBRAAH 30
 
Kwani zilipokuwepo na hao si walikuepo why hawakuchukua...? Kama hawakuchukua na Rayvanny kachukua na Ni BET why asijivunie, okay apart from BET Kuna msanii gani anamzidi nomination na tuzo ukitoa Diamond platinumz...?

RAYVANNY 1 NI HARMONIZE 3 JUMLISHA NA IBRAAH 30
Wewe msukule hujawahi kuwa na akili. Kituzo cha Rayvanny ni viewers choice na hakikuwahi kutolewa tena kwa mtu yeyote maana ni USELESS.

Yale ya Diamond kupewa kofia na kibwengo Magu akaona ni big deal mipicha picha kila kona, walivyokuja kupewa mpaka kina Msechu akaishiwa sifa na pozi.
 
Wewe msukule hujawahi kuwa na akili. Kituzo cha Rayvanny ni viewers choice na hakikuwahi kutolewa tena kwa mtu yeyote maana ni USELESS.

Yale ya Diamond kupewa kofia na kibwengo Magu akaona ni big deal mipicha picha kila kona, walivyokuja kupewa mpaka kina Msechu akaishiwa sifa na pozi.
Point is kipindi anapokea harmonize hakuwepo au..? Jibu alikuepo so why hakuchukua Kama alikua na ubavu...? Endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
 
Kelebe imefikia wapi?
Afro-francoise country inapeta, na YouTube mpaka now Ni 1 trending for music na pia SOUND FROM AFRICA Ina streams 9.5m boom play,25m Spotify na 10m Audiomack huku afroeast Ina 2.3m boomplay, 2.5m Spotify na 12m Audiomack huku nyingine Ina miezi 4 na nyingine mwaka 1 na nusu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Point is kipindi anapokea harmonize hakuwepo au..? Jibu alikuepo so why hakuchukua Kama alikua na ubavu...? Endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
Alikuwepo kwenye nomination au kwenye nini ?

Kwani kila msanii huwa anapewa Tuzo ya upcoming au kuna wahusika ?

Kila kipengele cha Tuzo kina watu wake. Huwezi kuweka kila msanii kwenye kipengele chochote. Endelea kulegeza puru, utazaa kwa uchungu mwaka huu.
 
Alikuwepo kwenye nomination au kwenye nini ?

Kwani kila msanii huwa anapewa Tuzo ya upcoming au kuna wahusika ?

Kila kipengele cha Tuzo kina watu wake. Huwezi kuweka kila msanii kwenye kipengele chochote. Endelea kulegeza puru, utazaa kwa uchungu mwaka huu.
Na sema kwa maana kipindi anachukua Rayvanny na harmonize alikua upcoming, means hakuwa mkali sio...? Endelea kukaza fuvu, puru square na utazaa kwa uchungu square mwaka huu[emoji23][emoji125]
 
Back
Top Bottom