Ni msanii gani mwingine duniani amewahi kupewa hicho kituzo ?Hyo Tuzo unayoiona ya kawaida kumbuka Hakuna msanii wa mwingine TZ ashawai ipokea, hvyo inabaki kwenye vitabu vya historia latika sanaa ya Bongo fleva
Wewe huyo vanny ni nduguyo? Unaambiwa ukweli unarukaruka hapa, peleka ungese huko. Watu wenye kujua utamu wa BET wametulia, hawana mbwembwe!Cheki hii kima, et WizKid ana sku yake Minnesota ..what a shit , utazani anakujua ... Anyway kama unamuingiza WizKid kama reference ya kumu-outclass Rayvanny , basi vannyboy n mtu mkubwa Sana .....
Ila jarbu kumtetea hata Marioo au harmonize utaonekana wa maana kuliko kukimbilia kujibanza Nigeria ....
Ni mtanzania mwenzagu hyo inatosha kujivunia katika national level , wewe huyo Burnaby au WizKid ni ndugu yako ?? Yaweza kuwa ni mwafrica mwenzako....Yeees..hata hvo ni mwehu tuu kama wewe anayeweza kuruka undugu wa national level kwenda Continental level .....Wewe huyo vanny ni nduguyo? Unaambiwa ukweli unarukaruka hapa, peleka ungese huko. Watu wenye kujua utamu wa BET wametulia, hawana mbwembwe!
Sawa kamwambie akuzawadie ka vitz basi sababu sivyo unavyomshobokea!Ni mtanzania mwenzagu hyo inatosha kujivunia katika national level , wewe huyo Burnaby au WizKid ni ndugu yako ?? Yaweza kuwa ni mwafrica mwenzako....Yeees..hata hvo ni mwehu tuu kama wewe anayeweza kuruka undugu wa national level kwenda Continental level .....
Moja ya akili za kibwengo hzo unazoonyesha
Hahahaha...Naunga mkono hoja , na pia Rayvanny afanye haraka kumsaini mwanamziki atakayemjibu dogo ibrah mana kamemganda Vannboy kama kupe wakati kananuka mdomo tuu[emoji23][emoji39]
Dogo kwa lipi? Hivi si mlisema na files za konde boy mtaweka hadharan, mbna kmya had now time? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlisema ni ya diamond sa hv mmehamia Kwa mzimbabwe watz hamna dogo
Haters utapasuka[emoji23][emoji23][emoji23]Dogo kwa lipi? Hivi si mlisema na files za konde boy mtaweka hadharan, mbna kmya had now time? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]