Mama na mtoto pipa na mfuniko.Rayvany naye kamlipa,lile gazeti alilo andikiwa na Harmo kipindi kile.
Ila mwisho wa siku Paula ndiye anaye kuwa ktk hali ngumu sijui kama mama yake analijua hili.Mtoto wake kishatumika mara mbili kama mtambo wa kutengemezea kiki,huku wenzake wakifanya biashara zao za kimziki kupitia hizi kiki.
Haya tuliyajua wewe unaenda vacation na mtoto,katupia kichupi upaja unang'aa,tako linaning'inia alafu baba mlezi yupo pembeni lazima udenda umtoke.
Baba mlezi kipindi kile Ray alivyo post ile video aliandika gazeti kubwa ".......nikiwa kama baba mlezi wa Paula.....blah blah blah....na mimi nina mtoto wa kike.......Ray alichomfanyia huyu mwanafunzi.........achukuliwe hatua kali kwani bado mwanafunzi..............blah blah blah........sina chuki na wewe my young brother.....".Sasa yeye wakati alivyo kuwa akiomba tunda hakujua huyu mwanafunzi au alimind Ray kuwa wa kwanza kumvua nguo.
Naona mwenzake Ray nae kapata pa kuhemea.
Zile tattoo alizo jichora bora mwenzake ni K,sasa yeye Kajala ile H ataifuta au itabaki vilevile au ataibadilisha na lile gari Konde kalichukua au kalisamehe? Ila mapenzi ya wasanii yana anzaga kisanii sanii yana isha kishanii.