Rayvanny amuwakia vibaya Harmonize kwa kumtumia picha za utupu Paula

Rayvanny amuwakia vibaya Harmonize kwa kumtumia picha za utupu Paula

Tamaa mbele mauti nyuma, mambo ya kula kuku na mayai yake uwa yanahitaji utaalam. Sasa unaacha ushahidi likiboom linaboom kwa kishindo.
Sema Harmo siku hizi ana majanga mengi japo ...
 
No never Rebeca! Konde na Kajala were still in initial stage ya kudate.. Hawana base firm grounds za Harmo kuwa na uchungu na wa kivile

Trust me Konde katumika kama toilet paper na sasa wamemdamp.. It's so painful.. ! Lakini wahuni sio watu especially wakikuona unazo, ni mshamba na unatafuta kick
Daah u said it all mkuu Mshana Jr
Konde boy katumika kwa kuendekeza mapenz wakati mama mtu ni mtoto wa mjini kitambo wajanja wamekula na kusepa. Yeye kwake pesa mbele haijalishi ni nani anakuja.
Poor konde boy.
 
😂😂😂😂😂 bongo sihami,haya ndo matukio ya mimi mkalimani kupiga pesa
 
Daah u said it all mkuu Mshana Jr
Konde boy katumika kwa kuendekeza mapenz wakati mama mtu ni mtoto wa mjini kitambo wajanja wamekula na kusepa. Yeye kwake pesa mbele haijalishi ni nani anakuja.
Poor konde boy.
Ndio akome karma is a bitch , Alikuwa ana msaliti mkewe kwa kutoka na huyo Kajala mpaka Ndoa Yao ikavunjika , Now kajala kamgeuka [emoji3]
 
Ndio akome karma is a bitch , Alikuwa ana msaliti mkewe kwa kutoka na huyo Kajala mpaka Ndoa Yao ikavunjika , Now kajala kamgeuka [emoji3]
Yani huyu bitch kamgeuka vibaya sana.
Na anatumika na upande wa pili kumuumiza konde boy.
Safari hii mmakonde kaingia chaka bovu anaona vumbi tu.
 
Ulichofanya harmonize chaweza kuwa si kitu kizuri machini pa watu
Lakini ungefanya nini kwa hao malaya wasio na stara wasanii wa bongo hawana mwiko wala hawajui vibaya isitoshe kajala mwenyewe kamlea mtoto wake katika umalaya na tamam zilizotopea
BIG UP JESHI
images%20(8).jpg
images%20(9).jpg
 
Ulichofanya harmonize chaweza kuwa si kitu kizuri machini pa watu
Lakini ungefanya nini kwa hao malaya wasio na stara wasanii wa bongo hawana mwiko wala hawajui vibaya isitoshe kajala mwenyewe kamlea mtoto wake katika umalaya na tamam zilizotopea
BIG UP JESHIView attachment 1749808View attachment 1749809
sio kizuri na sio kitendo cha kiungwana kula mama na mtoto. Mjomba Nchumali kaaribu sana
 
Mimi nikionaga hata paja la mwanamke mzee, Abdala kichwa wazi husimama sembuse na hawa watoto wa makahaba ambao hukaa uchi kabisa. Hata mimi akinionesha kipapatio chake na jamaa yangu akadinda simuachi kamwe. Hongera Kondeboy kwa kutuwakilisha vema wanaume marijali.
 
Daaa wanaume huwa tuna tamaa sana,harmonize asilaumiwe kama ni kweli,hebu vaa viatu vya harmonize ungekuwa ww ungeweza kuvumilia kuona katoto chuchu dodo kama paula kakijitipisha mbele yako?sema harmo kaenda less sana kwa paula angeenda slow slow mbona angetafuna kuku na mayai walahi!
Tatizo siyo tamaa, tatizo ni vile alivyokomalia suala la video ya Rayvanny hadi akampeleka polisi.

Screenshot_20210412_084630_com.instagram.android.jpg
 
Inapoelekea itakuwa
"Nini mnataka Mazee, mafans hawakujibu/
Zamani walijibu rhymes, leo imebaki aibu/"
Hizi ni nyakati za mashaka jiandae kugutwa shati
 
Inavyoonekana hao walishakulana zamani , kutokana na baadhi ya hizo text ... ambazo njomba nchumali anapolalamika kuwa bibie siku hizi hayupo kama zamani....
 
Back
Top Bottom