Rayvanny amuwakia vibaya Harmonize kwa kumtumia picha za utupu Paula

Harmonize ana stress za mmakonnde. Yaani mimi ningezaliwa mmakonnde ningengejitunfika shingo nife. Kwa Tanzania wale wanapitia maisha magumu sana
 
Ila kwa zile chat ina onekana asha kavunja.
 
Kwa chati zile usha kula vyombo
 
Y Ray ameandika ya kazi za mwenzake.. wakati yeye ndio anayaanika yake!!! Hii ni zaidi ya nani kamvulia nani..
Wasanii wa Tanzania mabomu.. kwanza Harmo anaweza kuvita pesa zake zote akipata mwanasheria mzuri.

Mengine watajiju
 
Wanatutoa mchezoni mwa CAG.ss niwatu makini
 
Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku njoooniii huku uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii
Kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa
 
Sio vizuri kwa familia inayojiheshimu lakini familia ya malaya kama wale weka tu
Mshukuru Mungu mkuu. Dunia ni duara, usimnenee mwenzako maneno mabaya huku hujui miaka 10 mbeleni, juu ya watoto wake au mke au ndugu zako
 
We
Jamaa ni pepo
 
Kimasihara yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…