Rayvanny atwaa tuzo ya BET

Rayvanny atwaa tuzo ya BET

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Mwanamuziki kutoka lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platinum ,Rayvann hatimaye afanikiwa kuibuka kidedea kwenye tuzo ya BET kipengele cha Best New international act



Screenshot_2017-06-24-21-33-09_1.jpg


Hongera sana kijana .[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kikubwa kilichomsaidia kijana ni kutojivuna kama wasanii wengine halafu ana mashabiki wengi sana Kenya ambao si wababaishaji kwenye suala zima la upigaji wa kura tofauti na mashabiki wa TZ ambao wengi wao ushabiki unaishia mdomoni tu
 
Back
Top Bottom