Rayvanny kama umegoma kumlipa Diamond Platnumz pesa yake basi mlipe hata Chege pesa zake, acha dhulma...!

Rayvanny kama umegoma kumlipa Diamond Platnumz pesa yake basi mlipe hata Chege pesa zake, acha dhulma...!

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Rayvanny unadaiwa na WCB Wasafi lebo iliyokutoa na kukupa mtaji wa jina lako. Mpaka sasa unarukaruka tuuu unafikiri utaondoka na biashara ya watu bure bure. Kiufupi usipolipa utaendelea kuwa msanii wa WCB Wasafi.

Achana na ilo mpaka leo hutaki kulipa pesa za Chege Chigunda alizowekeza kwa msanii uliyemtorosha kwenye lebo yake.

Unatafuta huruma wakati wewe unafanya dhulma kwa Chege.

Msanii wako Macvoice ametengenezwa na Chege akaweka pesa zake kuanzia videos, kumuweka mjini, studio times nk alafu ukamuiba bila kuangalia pesa zilizowekwa na Chege.

Laana ya kudhulumu watu itafanya lebo yako iendelee kudumaa.

Umemnyonya Chege, S2KIZZY, Mapanch, Robby nk utapiga vipi hatua kwaeunyonyaji huu 🤔🤔
 
nyie WCB mnasema mmewasaidia vijana kwenye muziki.
Hivi mmewasaidia au MLIKUWA MMEWEKEZA?
Kwenye shilingi 100 wewe uchukue 60 yeye 40.hapo umemsaidia kweli?
Basi sawa hyo asilimia iwe kwa muda mfupi Basi.
Lakini unaambiwa mkataba wa maisha na ukitaka kutoka utoe milion 800.hapo hakunaa msaada
 
Rayvanny unadaiwa na WCB Wasafi lebo iliyokutoa na kukupa mtaji wa jina lako. Mpaka sasa unarukaruka tuuu unafikiri utaondoka na biashara ya watu bure bure. Kiufupi usipolipa utaendelea kuwa msanii wa WCB Wasafi.

Achana na ilo mpaka leo hutaki kulipa pesa za Chege Chigunda alizowekeza kwa msanii uliyemtorosha kwenye lebo yake.

Unatafuta huruma wakati wewe unafanya dhulma kwa Chege.

Msanii wako Macvoice ametengenezwa na Chege akaweka pesa zake kuanzia videos, kumuweka mjini, studio times nk alafu ukamuiba bila kuangalia pesa zilizowekwa na Chege.

Laana ya kudhulumu watu itafanya lebo yako iendelee kudumaa.

Umemnyonya Chege, S2KIZZY, Mapanch, Robby nk utapiga vipi hatua kwaeunyonyaji huu 🤔🤔
Sasa mkuu kwani rayvanny kamchukua macvoice leo?
Mbona hukusema haya alipokuwa hajazingua pale wcb zaidi zaidi ulikuwa unampamba tu
 
Sasa mkuu kwani rayvanny kamchukua macvoice leo?
Mbona hukusema haya alipokuwa hajazingua pale wcb zaidi zaidi ulikuwa unampamba tu
Haki inadaiwa siku yoyote mkuu tunakumbushana tu
 
Rayvanny unadaiwa na WCB Wasafi lebo iliyokutoa na kukupa mtaji wa jina lako. Mpaka sasa unarukaruka tuuu unafikiri utaondoka na biashara ya watu bure bure. Kiufupi usipolipa utaendelea kuwa msanii wa WCB Wasafi.

Achana na ilo mpaka leo hutaki kulipa pesa za Chege Chigunda alizowekeza kwa msanii uliyemtorosha kwenye lebo yake.

Unatafuta huruma wakati wewe unafanya dhulma kwa Chege.

Msanii wako Macvoice ametengenezwa na Chege akaweka pesa zake kuanzia videos, kumuweka mjini, studio times nk alafu ukamuiba bila kuangalia pesa zilizowekwa na Chege.

Laana ya kudhulumu watu itafanya lebo yako iendelee kudumaa.

Umemnyonya Chege, S2KIZZY, Mapanch, Robby nk utapiga vipi hatua kwaeunyonyaji huu [emoji848][emoji848]
Huyo Mac Voice alitelekezwa kitambo na Chege. Kusainiwa na Rayvany ilikuwa kama msaada kwake kwani kijana alikuwa na hali mbaya sana. Chege anatafuta kiki tu ila mwenyewe anajua alikuwa ameshamtelekeza Mac.
 
nyie WCB mnasema mmewasaidia vijana kwenye muziki.
Hivi mmewasaidia au MLIKUWA MMEWEKEZA?
Kwenye shilingi 100 wewe uchukue 60 yeye 40.hapo umemsaidia kweli?
Basi sawa hyo asilimia iwe kwa muda mfupi Basi.
Lakini unaambiwa mkataba wa maisha na ukitaka kutoka utoe milion 800.hapo hakunaa msaada
Kumbuka 40 unaenda kula na ndugu zako rakn asilimia 60 Inakugaramia tena msanii unatakeje rayvani
 
Kumbuka 40 unaenda kula na ndugu zako rakn asilimia 60 Inakugaramia tena msanii unatakeje rayvani
Happy ni sawana malipo ya BAADAE.yaani wewe kila lakini utakuja kulipia baadae.
Kama kweli ulitaka kumsaidia kulikuwa na haha gani ya kumuwekea VIKWAZZO akitaka kuondoka?kwa hyo unataka wakae WCB milele? mikataba ya unyonyaji NI sawa.na ile ya akina chifu mangungo
Kumbuka 40 unaenda kula na ndugu zako rakn asilimia 60 Inakugaramia tena msanii unatakeje rayvani
 
hii WCB isipidhibitiwa italeta majanga wasanii wataanza kuuana kwa kutengenezeana visa kama ilivokua akina Dube n.k

diamond kaibiwa yeye na akina Babutale anataka naye sasa aibie wanyonge wake.
 
Diamond na hao vitambi 3 lao moja.
Jiulize mkataba wa diamond umeandikwa Kama ulivyoandikwa wa wenzie?.
Yaani kuimba wanaimba wengine,wanaumia.lakini faida inanenepeshe wengine
hii WCB isipidhibitiwa italeta majanga wasanii wataanza kuuana kwa kutengenezeana visa kama ilivokua akina Dube n.k

diamond kaibiwa yeye na akina Babutale anataka naye sasa aibie wanyonge wake.
 
Back
Top Bottom