Rayvanny kawaumiza Sana Wasafi

Anaposem aanasaidiwa inaingia akilini kweli wkt mtu ana kipaji chake anaimba kwa koo lake na bado anachukua 60% huo ni msaada? Akae mwenyewe basi ajisaidie
Rayvan kuondoka mondi kaumia sana na vivan ana nyota sana kuimba na maluma ile sio mchezo hata mondi aliumia sana na pale ndipo alipotengeneza mpunga mrefu sanaa
 
Sema we mzee unakomaa na hawa jamaa. Sijui Diamond alikukosea nini! Kuna wewe na yule dada mmoja humu. I can't imagine how is your life. I don't think it's a happy one. Sometimes I feel sorry for people like you.
Hahah yani unakaa hapo una-imagine maisha yangu?
Unanipangia maoni ya kutoa wewe kama nani??
Najitahidi kutafuta lugha ambayo haitakukosea heshima nakosa.
 
Dogo inno ndiyo ivyo tena wcb inasambaratika 🤣🤣🤣
 
Hahah yani unakaa hapo una-imagine maisha yangu?
Unanipangia maoni ya kutoa wewe kama nani??
Najitahidi kutafuta lugha ambayo haitakukosea heshima nakosa.


Ndio, nakaa hapa na imagine maisha yako. You sound like a very sad person. Wewe binadamu gani kila siku negative tu. Watu waliokaribu na wewe kazi wanayo kwelikweli.
 
Inaonekana WCB wanaumia sana kwa wasanii kuondoka...
Na inaonekana wasanii ni chanzo kikuu cha mapato yao sana sana machawa, hivyo kuondoka kwa mtu mirija inakatwa..

Na inavyoonekana ukishatoka kule kama hijajipanga hakika utakuwa teja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkiwadanganya watu wa FB inatosha, vanny yupi mwenye pesa chafu?? Nacheka km mwehu lol.
 
Ni mwaka upi diamond hakutoa nyimbo😁
 
Mboso alisemaga hata iwaje hawezi toka WCB

Sasa mondy ataimba na nani tena..zaidi ya mboso na zuchu🤔
 

Una uwezo wa kukataa mana hakushikii bunduki ili ukubaLi [emoji2217]
 
Unazingua , mikataba ya zuruma haihitajiki, mzurumu mtoto akiwa mdogo na haelewi kitu, Sasa mtu anaanza kutapeli mpaka watu waliokuwa kimuziki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…