Rayvan kuondoka mondi kaumia sana na vivan ana nyota sana kuimba na maluma ile sio mchezo hata mondi aliumia sana na pale ndipo alipotengeneza mpunga mrefu sanaaAnaposem aanasaidiwa inaingia akilini kweli wkt mtu ana kipaji chake anaimba kwa koo lake na bado anachukua 60% huo ni msaada? Akae mwenyewe basi ajisaidie