kijanamtanashati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 516
- 905
wewe ni hance mtanashati au ni id yako nyingine
Hance wamemtupa mahabusu ya Jf!wewe ni hance mtanashati au ni id yako nyingine
hapana mkuu mi sio hance mtanashati wala sio id yangu nyingine.wewe ni hance mtanashati au ni id yako nyingine
pole yake sijui nini aliharibuBila shaka huyu ni Hance na backup id yake,anyway kama jamaa ndo mkali kwny freestyl inabidi sisi kama taifa tuweke nguvu nyng huu upande km kwny suala la elimu
Hance wamemtupa mahabusu ya Jf!
basi mmefanana majinahapana mkuu mi sio hance mtanashati wala sio id yangu nyingine.
ngwea amepata mrithiRaynavy yuko poa kama hatobweteka, ila kumlinganisha na Ngwea hiyo ni dharau.Ngwea ni Ngwea hakuna Ngwea mwingine, he was the best at his level.
mkuu hance na mimi ni watu wawili tofautiBila shaka huyu ni Hance na backup id yake,anyway kama jamaa ndo mkali kwny freestyl inabidi sisi kama taifa tuweke nguvu nyng huu upande km kwny suala la elimu
Ngwair sio Ngwaire,Eti nini? Pengo la ngwaire halina spare so msimfananishe Ngwaire na vitu vya kijinga!
kauli ya ki wack kuwahi kutoka kwako. Hii ikiangaliwa serious inaitwa disrespect to the giants aiseejamaa anajua kufreestyle sioni wa kumfananisha nae kwa sasa labda nimfananishe na marehem ngwea na nathububu kusema huyu ndo mrithi wa ngwea kwenye freestyles, fid q na wenzake hawaingizi maguu kwa jamaa. jamaa akiamua afanye hip hop akina fid q inabidi wakasomee mana jamaa si mchezo japo simshauri afanye hiphop asije kufa maskin.