One moment
Senior Member
- Oct 22, 2016
- 108
- 114
Kwasababu Chid Benz anakula madawa ya kulevya nn? Naona watu wengi hawampi credit zake King Kong...Hakuna zaidi ya mbishi labda ambae sikuwahi msikia
Nadhani Chid benz akiacha mambo yake ya ajabu anaweza kuwa bingwa wa Mitindo Huru...