Rayvanny, mrithi wa Ngwea kwenye freestyle

Hakuna zaidi ya mbishi labda ambae sikuwahi msikia
Kwasababu Chid Benz anakula madawa ya kulevya nn? Naona watu wengi hawampi credit zake King Kong...

Nadhani Chid benz akiacha mambo yake ya ajabu anaweza kuwa bingwa wa Mitindo Huru...
 
Albert atabaki kuwa Albert katika kizazi hiki hakuna kama yeye katika MITINDO HURU....
 
Nimepitia comment zote ila sijaona jina la kijana aliyefunga ndoa jana
*MABESTE*
Alikuwa rafiki wa mangwea
Listvya freestyle yangu hii hapa
*MANGWEA*
*KING ZILA*
*MABESTE*
*NIKI MBISHI*
*FID Q*
 
Nimepitia comment zote ila sijaona jina la kijana aliyefunga ndoa jana
*MABESTE*
Alikuwa rafiki wa mangwea
Listvya freestyle yangu hii hapa
*MANGWEA*
*KING ZILA*
*MABESTE*
*NIKI MBISHI*
*FID Q*
Wapi ulipomsikia Fid Q aki-freestyle...usije kuchanganya nyimbo zake ambazo bado ajazitoa na free style mkuu na usidhani kila mkali wa rap anaweza kufanya style style ndio maana watu kama Joh Making,Sugu au Professa Jay sio wakali wa freestyle kabisa...Hapo kwenye Fid Q ungekuwa umefanya japo la busara kama ungemuweka Japo Chid Beenz
 
Huyu alikuwa konda wa haice sjui yupo wapi siku hizi mkuu.....but yale mashindano ya clouds ya freestyle jamaa alichukua . Alimbattle mbishi mbele ya fetty
alichukua kwasababu ya kelele za wahuni ,ila kiukwele,hakuwa na style..nakumbuka hiyo fainali walifanyia coco kama unamaanisha yule kijana yule Sajo aliyeshinda
 
Baada ya Ngwair ni Songa
wapi ulipomsikia Songa aki-freestyle?!
Kwangu Songa ndio mkali wa Rap za simulizi wenyewe wanaita Story Teller ila si mkali wa freestyle kabisa jamaa hana kipaji iko kama anacho2labda unajua peke yako.
 
yule alikuwa sajo,kiukweli hakuwa anaweza,alibebwa na vijana waliotoka kinondoni kumshangilia
naona jamaa ameng'ang'ania Lufunyo Lufunyo....Kwangu Lusajo alijitaidi tu hakuwa na kiwango kama hicho ambacho jamaa amejaribu kumpamba...

Maana jamaa mpaka anasema kuwa Lusajo ndio alishinda ila Fetty akampa ushindi Nikki Mbishi.
 
alichukua kwasababu ya kelele za wahuni ,ila kiukwele,hakuwa na style..nakumbuka hiyo fainali walifanyia coco kama unamaanisha yule kijana yule Sajo aliyeshinda
For sure mkuu.. but nikk mbishi is the best aseeh bongo sijaona. But siku hizi anastress na mziki
 
wapi ulipomsikia Songa aki-freestyle?!
Kwangu Songa ndio mkali wa Rap za simulizi wenyewe wanaita Story Teller ila si mkali wa freestyle kabisa jamaa hana kipaji iko kama anacho2labda unajua peke yako.
Songa hawezi freestyle. Ila ni storyteller mzuri ukisikiliza track zake kama utaona maufundi yake.
Picha
Ndege
Mwanga
But mkali no 1 kwa storytelling bongo aseeh ni mbwa.
Sikiliza nyokaa
Kingkola
Tumboni
Dogg danger( this is the best)
 
Kwasababu Chid Benz anakula madawa ya kulevya nn? Naona watu wengi hawampi credit zake King Kong...

Nadhani Chid benz akiacha mambo yake ya ajabu anaweza kuwa bingwa wa Mitindo Huru...
Tofauti ya nikk na rappers wengine.

Ana content kichwani. Lkn kina Chid mangwea..salasala they keep repeating the same lines wanapofreestyle....
 
Nimepitia comment zote ila sijaona jina la kijana aliyefunga ndoa jana
*MABESTE*
Alikuwa rafiki wa mangwea
Listvya freestyle yangu hii hapa
*MANGWEA*
*KING ZILA*
*MABESTE*
*NIKI MBISHI*
*FID Q*
Mangwea anapewa 1. Kumzidi nikk kwa lipi?
 
We mleta post utakua ngwea umesikia habari zake juu juu tu..ngwea alikuwa na uwezo usiokuwa wa kawaida. Mashairi yake ya nyimbo na pokea simu unajua mwanzo ilikuwa ni free style aliyopandia na beat ya nyimbo ya promote ya prof J wakiwa kwenye show Dom baadae ndo
akaingia studio, unajua nyimbo zote alizofanya na Jmo ameziandika studio kwa mda mfupi baada ya kusikiliza beat. Billicanas ngwea anashindana na chid alishuka na free style ambayo hakuna aliyetegemea the lisr is endless
 
Songa hawezi freestyle. Ila ni storyteller mzuri ukisikiliza track zake kama utaona maufundi yake.
Picha
Ndege
Mwanga
But mkali no 1 kwa storytelling bongo aseeh ni mbwa.
Sikiliza nyokaa
Kingkola
Tumboni
Dogg danger( this is the best)
Mbona Unanitajia wavuta bange tena mkuu!?
Mtu na akili zake timamu ambazo azijavurugwa na bange anaanzaje kujiita mbwa?!

Na bora angeweka wazi huyo mbwa ni jinsia gani.
 
Ewaa chief hapo tupo siti mojaaa",.. Nimeelewa sasa
pamoja papalai
 
KOSA KUBWA HAPA, NI KUTOKUJUA MAANA YA HIP HOP NA FREESTYLE
.

Mwenye kujua na atujuze,..maana duh Ray kwa Hayati Ngwea (Pumzika kwa Amani)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…