Rayvanny nakueleza "mchumba hasomeshwi"

Expetation. Lakin watu wanasahau hao wanao wasaidia nao wana malengo yao na maisha yao. So maamuzi watakayo chukua completely ni kuwanufaisha wao si ww.

So ukimsaidia mtu usisubirie asante. Other wise ni kuwa makini na mtu unae msaidia. Mchunguze kwanza kabla hujampa mtu mkono
 
Yaani anaingilia jukumu la P Funk kumsomesha?
 

Mbona huyo mwanamke Hana kosa? Ulitaka akulambe makalio au?
 
Tatizo mnasaidia mkiwa na expections za kuja kumgaragaza baadae.
 
usikute yupo uliempiga kibuti. akawa anakulilia hadi kapoa now we ndowaanza kufotoa makamasi 😁😁 that is KARMA enjoy. ya karma mkuu😁😁
 
Basi sawa kama ni yeye huenda ya zamani.. watajuana wenyewe.. video ya dk ngapi?
Usupastaa ni uchizi. Pamoja na background mbaya ya Paula na ile XXX video ya zamani, lakini Rayvanny kajitosa tu hivyohivyo.
 
Saww umeamua kumsaidia mtu sasa ulikua unataka nn tena kwake?ulikua unamtaka au
 
Kwa kweli yamekukuta et wew Nani we bas tu mnk huna ushawish mnk ungeongea na boss amzimamishe kdg akili c mkae sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…