Mkuu wapuuzi wa sampuli hii ni kuwachana tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
ngwea nimekesha nae sana studio, sema lingineUmeanza kuufutilia muziki siku hizi ndio maana unasema hivyuo,
Nahisi humjui wewe ngwear na hujawahi kumsikiliza
kifupi ngwear hna mshindani tz, kuna walio jaribu angalau wakina chid benz, nikki mbishi, godzila,lusajo, kado kitengo, nkYaan chawa wa WCB wakipewa bundle tyuuh, bas akili zao zinahama. Hivi kweli huyu mnyakyusa anaweza kumfikia ngwair kwa lolote?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tobaaaah wee, kwan kuna ulazima gan kuwashindanisha au kuwafananisha wasanii wenu na wa nje. Na bado hai match aaaaah
Jamani tumechoka mapambio yenu yasiokua na maana. Msieeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haujui unachokiongea nakichukulia Kama mpayukajiNgwea hamna kitu usifananishe Chui na wasanii wa ajabu
Salute.Ujue mkuu haya maisha haya acha tu, mmoja wa wasanii waliofanya mapinduzi you tube ni soulja boy, yan huyu ndio msanii wa kwanza kwanza kuanza kulipwa na you tube kwa nyimbo zake kukaa kule lakin saivi wenye streams na views nyingi ni kina drake, yan sio kwamba ray vany hajui mziki sio kweli anategemewa pale na kina mondi na yeye mwenyewe anajimudu tuseme ukweli ila pia tujue tu amekuja kipindi cha neema na lenyewe amshukuru mungu tu ila hajamzidi ngwair.., hii ipo sana kwene maisha unaweza ukawa unafanya sana kitu fulan hutoboi, akaja mwingine akafanya kiutofauti kidogo tu lakini kitu kile kile boom kikafumuka kikawa kikubwa unaanza kushangaa mbona na wewe ulikuwa unafanya lakin patupu ? Me kwenye maisha sijawah kumdarau mtu yan kila mtu huwa namwona anapotential, yan me huwa naangalia vitu vyake positive negative siangalii na imenisaidia kwenye maisha.
You nailed it.Hivi wakati kina Jaydee, Juma Nature, C pwaa waingia tuzo Channel O na nyimbo zao kupigwa MTV Base Ngwair alikuwa wapi?
Tatizo letu watanzania ni wanafki na washirikina sana. Ngwair toka akiwa hai sijawahi sikia anaitwa msanii mkali kutokea Bongo na hajawahi kuwa hata top 5 ya hao wasanii wakali wa kipindi chake.
Tuache unafki wa kujidai tunawapenda sana marehemu, wakati wakiwa hai hawapati sifa hizo.
SIMFANANISHI RAYVAN NA HUYO MAREHEMU, LAKINI KUJIDAI HATUKUBALI UWEZO WA RAYVAN NI KUUKOSEA HESHIMA MUZIKI WA TANZANIA.
Nimalizie kwa kusema MITANO TENA.