Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Endelea kukaza fuvu'She got a gwan' inameza zote hizo kwa mkupuo mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kukaza fuvu'She got a gwan' inameza zote hizo kwa mkupuo mmoja
Ok kaka pamoja sana karibu WCBHapana kwenye ukweli kama huu lazima ukweli usemwe,ila wangekuja wale wazushi wasiomtakia Mondi mema,wenye wivu na mafanikio yake hapa ndio ningeuwasha moto kumtetea kama mdogo wangu wa tumbo moja vile
Fact kamanda wataelewa tu, numbers don't lieHaya nyie mnalinganishaje? tutumie data zenu kama vip , hzo hzo za old era ambapo hakukuwa na sportfy , sjui apple na wala YouTube , hzo hzo kwenye single na album tutembee nazo..., hatukatai Ngwear alikuwa mkali lakini kusema Vannyboy ni takataka Kwa ngwear ha ha haaaaaa....data zikimwagika hapa mbona Ngwear tunamuweka kwenye dustbean......tunarushiana maneno makali bila statistics zozote , tunaposema Mbape huwez kumlinganisha na Messi kitacholetwa ni data ya kila mmoja na sio mahaba ...... Mana nimeona wengi humu watu wazima lakini akili bado zipo kwenye fridge tena kwenye freezing point.....
Data and numbers don't lieUnataka data gani mkuu ? data ndio ushahidi ? sijaelewa , where do i get those data ? how do i compare them ? Ukitaka uwiano wa data hapo ngwair atashinda sababu kuna kitu hujaenda sana deep, tukitaka tulete uwiano wa data za huko kwene mainternet ni lazima tuangalie na revolution ya internet yenyewe na Muziki ngwair kaanza siku nyingi na platform nyingi za kuutambulisha mziki zimeanza 2007 kwenda juu, yan hebu angalia hizi platform unazozitegemea tukachukue data zimeanza lini
2015 apple music started,
spotify ya wasweden imeanza 2006,
tidal imeanza 2014,
you tube 2005,
boom play imeanza 2015..
Na kilicholeta mapinduzi ya kweli ni ANDROID sasa imeanza lini ? September 23, 2008 so ebu fikiria mkuu, hiz platform zote wakati zinaanza NGWAIR ALIKUWA ASHAWASHA SANA MOTO NA CASSETTES alikuwa tayari ana album zinafanya vizuri, kina rayvan wanaimba kweli ila washukuru sana technolojia mkuu
Sasa unazania Ni rahisiYaan kuimba singeli ndo amzidi ngwair? Jamani khaaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], tumechoka futuhi zenu.
Msieeeeew, chui jike labdaChui
Tatizo unahasira my loveWee ndo hata usiongee kabisaa, huna unalolijua. Msieeeeeew
Endelea kukaza fuvuWee unawashwa eti eeeh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaheshimu ila wadogo lazima wapewe credibilityHata kama sikua shabiki wa mangwea ila Mkuu Heshimu wakubwa.
Endelea kukaza fuvuChui
Wee nilisha kupuuza tangu mda San, tumia ile acc nyingine ile nikulipue vizuri, msieeeewSasa unazania Ni rahisi
Endelea kukaza fuvuAcha kumtukana marehemu Ngwair kwa kumfananisha na huyo Vanny boy ambaye hatujui kipaji chake nje ya WCB kitakuwaje....ukweli mchungu ni kwamba alivyokufa Ngwair aliyebaki anamkaribia ni mkurungwa wa kuitwa Nyanshiski tu hapo +254,over...Kwanza Ngwair hajawahi kuwa mkata viuno ili kuwa Ngwair.
CHUI dumeMsieeeeew, chui jike labda
Umlipue Nani weye....???Wee nilisha kupuuza tangu mda San, tumia ile acc nyingine ile nikulipue vizuri, msieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nikiona hii I'D yako, kabla sijasoma comment nacheka tyuuh.Tatizo unahasira my love
Kwenda huko.Endelea kukaza fuvu
Sasa si utumie ile I'D, kwani shida nini lol [emoji23][emoji23][emoji23]Umlipue Nani weye....???
Wa kuchorwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]CHUI dume
tuweke ngoma after ngoma uone hapaNature hamna kitu kwa RAYVANNY mnyama mkali CHUI