Rayvanny ndio Mangwea wa kizazi hiki cha muziki

Rayvanny ndio Mangwea wa kizazi hiki cha muziki

Mkuu utaumiza kichwa chako bure maana mtu anaelinganisha wasanii type tofauti kama Vanny na Ngwair, bado akang'ang'ana na kutumia data za Youtube na spotify lazma kuwe kuna tatizo sehemu

Data ndiyo Nini bana unapofananisha punda na farasi tutaishia tu kukudharau hata kukutukana ikibidi, tutakuwa hatuna kazi na huo mda wa kukuelewesha ni jinsi gani farasi ni farasi na punda atabaki kuwa punda tu

hapa ndo ulipofeli, unaongelea tuzo na kupenya soko la kimataifa kipindi cha kina Ngwea!?
Kipindi ambacho mtandao uliokuwa unatamba bongo ni BBM pekee!?
Generation ya tape unalinganisha na kipind hiki cha online, hii haiwezi kuwa sawa.

Kuna msanii bongo hii anaeweza kuimba Aina tofaut tofauti za miziki kumzidi Sir Nature? Na alichukua tuzo ya Chanel O akiwa msanii wa kwanza kibongo bongo, unazan ilikuwa rahis miaka ile.!?
Mnatumia kigezo gani kuwalinganisha wale wasafisha njia na hawa wa Sasa!
Haya nyie mnalinganishaje? tutumie data zenu kama vip , hzo hzo za old era ambapo hakukuwa na sportfy , sjui apple na wala YouTube , hzo hzo kwenye single na album tutembee nazo..., hatukatai Ngwear alikuwa mkali lakini kusema Vannyboy ni takataka Kwa ngwear ha ha haaaaaa....data zikimwagika hapa mbona Ngwear tunamuweka kwenye dustbean......tunarushiana maneno makali bila statistics zozote , tunaposema Mbape huwez kumlinganisha na Messi kitacholetwa ni data ya kila mmoja na sio mahaba ...... Mana nimeona wengi humu watu wazima lakini akili bado zipo kwenye fridge tena kwenye freezing point.....
 
Haya nyie mnalinganishaje tutumie data zenu , mana tunaposema Mbape huwez kumlinganisha na Messi kitacholetwa ni data ya kila mmoja na sio mahaba ...... Mana nimeona wengi humu watu wazima lakini akili bado zipo kwenye fridge tena freezing point.....
Data zao machozi wanamtetea kwa kulialia
 
Moja ya reply Bora kabisa , haya ndo maneno sasa , sasa wengine wanakuja na matusi , hana data , Hana hoja ni kutukana tuu...mkuu umejibu vyema sana

Ujue mkuu haya maisha haya acha tu, mmoja wa wasanii waliofanya mapinduzi you tube ni soulja boy, yan huyu ndio msanii wa kwanza kwanza kuanza kulipwa na you tube kwa nyimbo zake kukaa kule lakin saivi wenye streams na views nyingi ni kina drake, yan sio kwamba ray vany hajui mziki sio kweli anategemewa pale na kina mondi na yeye mwenyewe anajimudu tuseme ukweli ila pia tujue tu amekuja kipindi cha neema na lenyewe amshukuru mungu tu ila hajamzidi ngwair.., hii ipo sana kwene maisha unaweza ukawa unafanya sana kitu fulan hutoboi, akaja mwingine akafanya kiutofauti kidogo tu lakini kitu kile kile boom kikafumuka kikawa kikubwa unaanza kushangaa mbona na wewe ulikuwa unafanya lakin patupu ? Me kwenye maisha sijawah kumdarau mtu yan kila mtu huwa namwona anapotential, yan me huwa naangalia vitu vyake positive negative siangalii na imenisaidia kwenye maisha.
 
Una data au ushahidi

Unataka data gani mkuu ? data ndio ushahidi ? sijaelewa , where do i get those data ? how do i compare them ? Ukitaka uwiano wa data hapo ngwair atashinda sababu kuna kitu hujaenda sana deep, tukitaka tulete uwiano wa data za huko kwene mainternet ni lazima tuangalie na revolution ya internet yenyewe na Muziki ngwair kaanza siku nyingi na platform nyingi za kuutambulisha mziki zimeanza 2007 kwenda juu, yan hebu angalia hizi platform unazozitegemea tukachukue data zimeanza lini

2015 apple music started,
spotify ya wasweden imeanza 2006,
tidal imeanza 2014,
you tube 2005,
boom play imeanza 2015..

Na kilicholeta mapinduzi ya kweli ni ANDROID sasa imeanza lini ? September 23, 2008 so ebu fikiria mkuu, hiz platform zote wakati zinaanza NGWAIR ALIKUWA ASHAWASHA SANA MOTO NA CASSETTES alikuwa tayari ana album zinafanya vizuri, kina rayvan wanaimba kweli ila washukuru sana technolojia mkuu
 
Unataka data gani mkuu ? data ndio ushahidi ? sijaelewa , where do i get those data ? how do i compare them ? Ukitaka uwiano wa data hapo ngwair atashinda sababu kuna kitu hujaenda sana deep, tukitaka tulete uwiano wa data za huko kwene mainternet ni lazima tuangalie na revolution ya internet yenyewe na Muziki ngwair kaanza siku nyingi na platform nyingi za kuutambulisha mziki zimeanza 2007 kwenda juu, yan hebu angalia hizi platform unazozitegemea tukachukue data zimeanza lini

2015 apple music started,
spotify ya wasweden imeanza 2006,
tidal imeanza 2014,
you tube 2005,
boom play imeanza 2015..

Na kilicholeta mapinduzi ya kweli ni ANDROID sasa imeanza lini ? September 23, 2008 so ebu fikiria mkuu, hiz platform zote wakati zinaanza NGWAIR ALIKUWA ASHAWASHA SANA MOTO NA CASSETTES alikuwa tayari ana album zinafanya vizuri, kina rayvan wanaimba kweli ila washukuru sana technolojia mkuu
Kwahiyo kumbe mjadala hauna data bali ni Hisia na machozi tu kuwa mtu unasema fulani bora kwa kusukumwa na Hisia zako when it come to Numerical Data unamwaga mchozi.

hakuna mada hapa naona upande mmoja una Data upande lialia
 
Kwahiyo kumbe mjadala hauna data bali ni Hisia na machozi tu kuwa mtu unasema fulani bora kwa kusukumwa na Hisia zako when it come to Numerical Data unamwaga mchozi.

hakuna mada hapa naona upande mmoja una Data upande lialia

kweli kabisa umewaza and you wrote this ? aisee haya mie lia lia wewe una data..
 
Umemwelewa lakni we totooo, ha ha haaaa anamanisha hvi style aliyokuwa anaimba Ngwear pia vanyboy anaweza kuimba , Ila kuna style za Vannboy Ngwear anachemsha mfano hyo singeli , Vannboy anapita fresh Ila Ngwear lazima aning'inie
Yaan kuimba singeli ndo amzidi ngwair? Jamani khaaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], tumechoka futuhi zenu.
 
Kunywa bia tatu nitakuja kulipa....yaan ngwea wa kufananishwa na muimba singel
Ndo hapo sasa cha ajabu, yaani hawa chawa wa WCB wakipewa bundles tyuuh tafran humu ndani, khaaaaah.
Yaan mbana pua na mlamba lips afananishwe na cowboy, watu wamevurugwa kwa kweli lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha kumtukana marehemu Ngwair kwa kumfananisha na huyo Vanny boy ambaye hatujui kipaji chake nje ya WCB kitakuwaje....ukweli mchungu ni kwamba alivyokufa Ngwair aliyebaki anamkaribia ni mkurungwa wa kuitwa Nyanshiski tu hapo +254,over...Kwanza Ngwair hajawahi kuwa mkata viuno ili kuwa Ngwair.
 
hapa ndo ulipofeli, unaongelea tuzo na kupenya soko la kimataifa kipindi cha kina Ngwea!?
Kipindi ambacho mtandao uliokuwa unatamba bongo ni BBM pekee!?
Generation ya tape unalinganisha na kipind hiki cha online, hii haiwezi kuwa sawa.

Kuna msanii bongo hii anaeweza kuimba Aina tofaut tofauti za miziki kumzidi Sir Nature? Na alichukua tuzo ya Chanel O akiwa msanii wa kwanza kibongo bongo, unazan ilikuwa rahis miaka ile.!?
Mnatumia kigezo gani kuwalinganisha wale wasafisha njia na hawa wa Sasa!
Nature hamna kitu kwa RAYVANNY mnyama mkali CHUI
 
Back
Top Bottom