Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Hao wanaopewa airtime na media zingine wamefika wapi kimziki?? Au msanii gani nje ya wcb anamafanikio ya kimuziki na shows ukitoa hao wakubwa tu kama alikiba?Kitu kinachosababisha wasanii wcb kuondoka ni haya mabifu na media hivyo wanaona wanakosa uhuru na airtime so wanaona bora wasepe tuu kwakutegemea ft zitakuwa nyingi
Wee angalia harmoniz baada ya kutoka wcb kapata kolabo na Nandy pamoja Darasa ila angeendelea kuwepo wasafi asingepata hizo kolaboration
Ninachoona huko mbeleni hata mboso atajikataa pia ila yote na yote wanaona pale wcb wanabaniwa sana na media zingine so ni bora wabaki huru kuliko kuwa na mabifu na kukosa air time ktk media zingine
Kajojo mmbea sana kheeeMillion 500 sio mchezo.
Ila hicho ndiyo wanakitaka, yaani kuwa huru na siyo huyu apigwi huku yule apigwi kule, asikwambie mtu Ruge alikuwa mjanja sana alijuwa jinsi ya kumuua kimuziki msaniiHao wanaopewa airtime na media zingine wamefika wapi kimziki?? Au msanii gani nje ya wcb anamafanikio ya kimuziki na shows ukitoa hao wakubwa tu kama alikiba?
Ruge ndo alishika mziki enzi zake kwahiyo lazima uwe mpole yani.Ila hicho ndiyo wanakitaka, yaani kuwa huru na siyo huyu apigwi huku yule apigwi kule, asikwambie mtu Ruge alikuwa mjanja sana alijuwa jinsi ya kumuua kimuziki msanii
Kajojo mmbea sana kheee
Juu ya kaloWcb ni ujinga Harmonize yuko Juu sana sasahivi ukilinganisha na Vanny boi.
kaZi hote anafanya bosiHawezi kusema ila moyoni Dogo anaumia sana, Mkataba wake na Wcb ni unyonyaji wa hali ya juu 70% yote ni ya Boss yeye anabakiwa na 30%
Ndani ya Wcb msanii mwenye pesa ni boss wao tu. Wengine wanaambulia umaarufu tu. Ukiwa chawa tu wa Wcb lazima uwe maarufu sembuse msanii mkwanja wako sawa na wakina gigy money .Hao wanaopewa airtime na media zingine wamefika wapi kimziki?? Au msanii gani nje ya wcb anamafanikio ya kimuziki na shows ukitoa hao wakubwa tu kama alikiba?
Alikuwa anafanya hisani au biashara??Harmonize ana mafanikio gan nje ya WCB Wazee , !! ?? vyovyote inavyokuwa WCB chini ya Diamond imenyonyesha uwezo mkubwa kimziki hapa bongo labda tuongee kishabiki .... Diamond kaanzia down kawapita wasanii aliowakuta kama akina Kiba kaanzisha label kawatoa hao akina Harmonize , bila WCB hakuna Harmonize , huyo Harmo alienda BSS alifukuzwa kama mbwa .... Diamond kamng'arisha maadui wa mond mpak wakammezea mate ... Swali linakuja Tz nzima wamekosa vipaji mpak wakimbilie WCB kung'oa mtu ?? Jibu ni moja Tu Mond ni genius , amemuibua Zuchu sa hv ni gumzo kitaa mpak Nandy anashinda Kwa waganga...
Katika watu ambao wanaombea msuguano wao na WCB usiishe basi ni Konde boy , Hana pengine pa kutafta Kiki Zaid ya WCB , kila interview anataja WCB, mara nimenunua zoom extra mara nimenunua vifaa vya Wasafi FM , ooh mara nimezurumiwa malipo na usenge usenge kibao...
Mpango wa Rayvanny kusepa upo wazi , lakn atakuwa supported na WCB kuna makubaliano yapo , hata Zuchu ameambiwa ajipange kuja kusimama mwenyewe , na still anakuwa supported na WCB , konde boy aliondoka kihuni lakn anawahtaji WCB Sana , popote atakapokuwa Konde boy jina la Mondi litatajwa lakn popote atakapokuwa Mond jina la konde haliwezi kusikika .....
Kwa sasa mziki upo WCB, now tunajiandaa Kwa ndoa Kati ya Paula wa Kajala na Vanny boy mtu mbaya 😋
Kweli mkuu unaongea usichokijua!Kitu kinachosababisha wasanii wcb kuondoka ni haya mabifu na media hivyo wanaona wanakosa uhuru na airtime so wanaona bora wasepe tuu kwakutegemea ft zitakuwa nyingi
Wee angalia harmoniz baada ya kutoka wcb kapata kolabo na Nandy pamoja Darasa ila angeendelea kuwepo wasafi asingepata hizo kolaboration
Ninachoona huko mbeleni hata mboso atajikataa pia ila yote na yote wanaona pale wcb wanabaniwa sana na media zingine so ni bora wabaki huru kuliko kuwa na mabifu na kukosa air time ktk media zingine
Pale tu yupo wcb na kapotea.....ile ep yake aliyosema anaitoa siku ya wapendanao sijui imeishia wapi......Lava Lava asijetoka WCB atapotea kabisa
Haya mambo ya kutegemea airtime kwenye radio moja tu yanaumiza sana....Kitu kinachosababisha wasanii wcb kuondoka ni haya mabifu na media hivyo wanaona wanakosa uhuru na airtime so wanaona bora wasepe tuu kwakutegemea ft zitakuwa nyingi
Wee angalia harmoniz baada ya kutoka wcb kapata kolabo na Nandy pamoja Darasa ila angeendelea kuwepo wasafi asingepata hizo kolaboration
Ninachoona huko mbeleni hata mboso atajikataa pia ila yote na yote wanaona pale wcb wanabaniwa sana na media zingine so ni bora wabaki huru kuliko kuwa na mabifu na kukosa air time ktk media zingine
Chawa katika ubora wako wa hali ya juu...Harmonize ana mafanikio gan nje ya WCB Wazee , !! ?? vyovyote inavyokuwa WCB chini ya Diamond imenyonyesha uwezo mkubwa kimziki hapa bongo labda tuongee kishabiki .... Diamond kaanzia down kawapita wasanii aliowakuta kama akina Kiba kaanzisha label kawatoa hao akina Harmonize , bila WCB hakuna Harmonize , huyo Harmo alienda BSS alifukuzwa kama mbwa .... Diamond kamng'arisha maadui wa mond mpak wakammezea mate ... Swali linakuja Tz nzima wamekosa vipaji mpak wakimbilie WCB kung'oa mtu ?? Jibu ni moja Tu Mond ni genius , amemuibua Zuchu sa hv ni gumzo kitaa mpak Nandy anashinda Kwa waganga...
Katika watu ambao wanaombea msuguano wao na WCB usiishe basi ni Konde boy , Hana pengine pa kutafta Kiki Zaid ya WCB , kila interview anataja WCB, mara nimenunua zoom extra mara nimenunua vifaa vya Wasafi FM , ooh mara nimezurumiwa malipo na usenge usenge kibao...
Mpango wa Rayvanny kusepa upo wazi , lakn atakuwa supported na WCB kuna makubaliano yapo , hata Zuchu ameambiwa ajipange kuja kusimama mwenyewe , na still anakuwa supported na WCB , konde boy aliondoka kihuni lakn anawahtaji WCB Sana , popote atakapokuwa Konde boy jina la Mondi litatajwa lakn popote atakapokuwa Mond jina la konde haliwezi kusikika .....
Kwa sasa mziki upo WCB, now tunajiandaa Kwa ndoa Kati ya Paula wa Kajala na Vanny boy mtu mbaya [emoji39]
it's obvious ukiona mtu haatumii hivyo vyote basi starehe yake ni UZINZI, typically.Katika mambo mengine aliyosema Rayvanny ni kwamba yeye hanywi pombe, havuti sigara wala bangi hata hivyo alikataa kutaja starehe anayoipenda
Naomba tu niseme, hakuna unalolijua kuhusu hao uliowaongelea.Harmonize ana mafanikio gan nje ya WCB Wazee , !! ?? vyovyote inavyokuwa WCB chini ya Diamond imenyonyesha uwezo mkubwa kimziki hapa bongo labda tuongee kishabiki .... Diamond kaanzia down kawapita wasanii aliowakuta kama akina Kiba kaanzisha label kawatoa hao akina Harmonize , bila WCB hakuna Harmonize , huyo Harmo alienda BSS alifukuzwa kama mbwa .... Diamond kamng'arisha maadui wa mond mpak wakammezea mate ... Swali linakuja Tz nzima wamekosa vipaji mpak wakimbilie WCB kung'oa mtu ?? Jibu ni moja Tu Mond ni genius , amemuibua Zuchu sa hv ni gumzo kitaa mpak Nandy anashinda Kwa waganga...
Katika watu ambao wanaombea msuguano wao na WCB usiishe basi ni Konde boy , Hana pengine pa kutafta Kiki Zaid ya WCB , kila interview anataja WCB, mara nimenunua zoom extra mara nimenunua vifaa vya Wasafi FM , ooh mara nimezurumiwa malipo na usenge usenge kibao...
Mpango wa Rayvanny kusepa upo wazi , lakn atakuwa supported na WCB kuna makubaliano yapo , hata Zuchu ameambiwa ajipange kuja kusimama mwenyewe , na still anakuwa supported na WCB , konde boy aliondoka kihuni lakn anawahtaji WCB Sana , popote atakapokuwa Konde boy jina la Mondi litatajwa lakn popote atakapokuwa Mond jina la konde haliwezi kusikika .....
Kwa sasa mziki upo WCB, now tunajiandaa Kwa ndoa Kati ya Paula wa Kajala na Vanny boy mtu mbaya [emoji39]
inamaana wakati anasini ule mkataba alikuwa kafumba macho? hakusoma chochote?Hawezi kusema ila moyoni Dogo anaumia sana, Mkataba wake na Wcb ni unyonyaji wa hali ya juu 70% yote ni ya Boss yeye anabakiwa na 30%
Tuambie kuhusu kibaNaomba tu niseme, hakuna unalolijua kuhusu hao uliowaongelea.
Jitahidi hata kwenda wcb pale uulizie but what you wrote here its embarrassing kwa kweli.
Hii tabia ipo sana tz, mtu hata humjui mtu unamuongelea very deep kumbe imagination zako.
Niishie hapa..
And you will be suprised me ni biggest fan wa kiba.