Rayvanny; Nitaondoka WASAFI (WCB) kwa amani

Rayvanny; Nitaondoka WASAFI (WCB) kwa amani

Kiukweli wasanii ambao diamond alibahatisha ni Kondeboy , ray vanny na Zuchu , Mboso still anasua sua japo ni afadhali , lava lava ni gharasa , qeen darling ndo usiseme😀😀
Mbosso walau anaweza kutunga sema style yake ya kizenji ndio ishachunda 😂😂😂 bora mtu kama Harmonize anaweza flex na style zinginezo
 
Wewe unaonaje.

Stori zilizopo jamaa Hana mpango wa kulipa hata 100.

Digital platforms zote Bado wanashikiria Wasafi. Amebaki na Shows tu.

Unafanya Shows unapata pesa, unatengeneza video na audio unawapelekea Wasafi wakuwekee kwenye digital platforms halafu Ngoma zinauzwa wanachukua mgawo wao, na Bado Ngoma zote siyo Mali yako.
Mbona bado anatumia instagram?
 
Instagram ni ya kwake, haiingizi Hela.

Digital zenye pesa ni Boomplay, Spotify, Deezer, nk

Huko hagusi
Naona biashara ya mziki wa bongo unaanza kukua marekani wapo mbali Sana kwenye haya mambo
 
Back
Top Bottom