Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 454
- 1,270
Seriously million 800..Diamond wewe ni insane? au!
Msanii umemchua umeweka pesa baada ya miaka 2 umeanza kula 60 % zake baada ya kutaka kuvunja mkataba unasema million 800 for what. Acha upuuzi wewe.. Tatizo huna shule na hiyo mimeneja njaa inakuponza.
Umechukua zaidi ya billion 6 kwa asilimia 60 kwa Rayvanny hata nyimbo nyingi Raymond katoa kwa gharama zake.
Wewe ulilalama Ruge anakunyonya kwann unanyonya wengine.
Raymond usitoe hata 100 la sivyo arudishe hizo asilimia 60 zaidi ya billion 6. Komaa na Serikali watakusaidia.
Diamond una roho mbaya
Msanii umemchua umeweka pesa baada ya miaka 2 umeanza kula 60 % zake baada ya kutaka kuvunja mkataba unasema million 800 for what. Acha upuuzi wewe.. Tatizo huna shule na hiyo mimeneja njaa inakuponza.
Umechukua zaidi ya billion 6 kwa asilimia 60 kwa Rayvanny hata nyimbo nyingi Raymond katoa kwa gharama zake.
Wewe ulilalama Ruge anakunyonya kwann unanyonya wengine.
Raymond usitoe hata 100 la sivyo arudishe hizo asilimia 60 zaidi ya billion 6. Komaa na Serikali watakusaidia.
Diamond una roho mbaya