Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini mkuuAisee HARMONIZE Ni mwaaume
Mtoa mada nazani shule ndio inamsumbuwaAcha kupotosha na hii statement yako
“Baada ya kuvunja mkataba unasema milion 800“.. unasema as if jamaa amemstukiza
Hio milion 800 ilikuepo kwny mkataba kipindi wanakubaliana, kama yeye aliona hataweza angekataa ku sign.
Sio unakubali unakula hela za watu unapata umaarufu halafu unataka kukimbia, unakimbia kwenda wapi? Maliza makubaliano sio kutafuta huruma.
Na umesema mwenyewe diamond kachukua bilion 6 (kwa 60%). It means rayvanny kachukua bilion 4 (kwa 40%) yake. Hio 4 bilion vanny angetoa wapi asingeenda wasafi? Angebaki mbeya saiv hata baiskeli asingekua nayo
Asipolipa Haki zotë zimehifadhiwa na wasafi baby. Unataka mwenzio aanze upya. Kimkataba yeye Hana nyimbo Bali zinamilikiwa na wasafi. Ataishia kuimba jukwaani tu.Seriously million 800..Diamond wewe ni insane? au!
Msanii umemchua umeweka pesa baada ya miaka 2 umeanza kula 60 % zake baada ya kutaka kuvunja mkataba unasema million 800 for what. Acha upuuzi wewe.. Tatizo huna shule na hiyo mimeneja njaa inakuponza.
Umechukua zaidi ya billion 6 kwa asilimia 60 kwa Rayvanny hata nyimbo nyingi Raymond katoa kwa gharama zake.
Wewe ulilalama Ruge anakunyonya kwann unanyonya wengine.
Raymond usitoe hata 100 la sivyo arudishe hizo asilimia 60 zaidi ya billion 6. Komaa na Serikali watakusaidia.
Diamond una roho mbaya
Serikali yenyewe imeleta tozo mpaka bank, pesa haijawai kutoshaSeriously million 800..Diamond wewe ni insane? au!
Msanii umemchua umeweka pesa baada ya miaka 2 umeanza kula 60 % zake baada ya kutaka kuvunja mkataba unasema million 800 for what. Acha upuuzi wewe.. Tatizo huna shule na hiyo mimeneja njaa inakuponza.
Umechukua zaidi ya billion 6 kwa asilimia 60 kwa Rayvanny hata nyimbo nyingi Raymond katoa kwa gharama zake.
Wewe ulilalama Ruge anakunyonya kwann unanyonya wengine.
Raymond usitoe hata 100 la sivyo arudishe hizo asilimia 60 zaidi ya billion 6. Komaa na Serikali watakusaidia.
Diamond una roho mbaya
Shida shule mkuu wangesoma somo la Business Laws wangeelewa maana ya mikatabaHahaha! Twendeni tu shule hivyo hivyo hata kama tunaenda kusomea ujinga.
Mleta mada miliki kwanza biashara hata ya genge, mtu aje aichezee na kuigeuza geuza atakavyo halafu utuletee mrejesho.
Btw, Diamond hajawahi kuwa na mkataba na Ruge, kama upo warithi wa Ruge(RIP) mpelekeni Diamond mahakamani.
Ila kuna harufu ya wizi hapa! Tangu ajiunge na hao Wasafi, amekuwa akipata 40% pekee, huku 60% ikienda kwenye Kampuni ya Wasafi, na mmiliki wake! Kwa miaka yote msanii aliyokuwepo kwenye hiyo kampuni, ameichangia zaidi ya bilioni 6 kupitia hiyo 60%!!!Seriously million 800..Diamond wewe ni insane? au!
Msanii umemchua umeweka pesa baada ya miaka 2 umeanza kula 60 % zake baada ya kutaka kuvunja mkataba unasema million 800 for what. Acha upuuzi wewe.. Tatizo huna shule na hiyo mimeneja njaa inakuponza.
Umechukua zaidi ya billion 6 kwa asilimia 60 kwa Rayvanny hata nyimbo nyingi Raymond katoa kwa gharama zake.
Wewe ulilalama Ruge anakunyonya kwann unanyonya wengine.
Raymond usitoe hata 100 la sivyo arudishe hizo asilimia 60 zaidi ya billion 6. Komaa na Serikali watakusaidia.
Diamond una roho mbaya
Waafrica hamuendelei maana mnaleta ujuaji mwingi na kutaka kukeuka makubaliano, ndo maana vichina vinaeaingiza kwenye mikataba mnaingia mkengeIla kuna harufu ya wizi hapa! Tangu ajiunge na hao Wasafi, amekuwa akipata 40% pekee, huku 60% ikienda kwenye Kampuni ya Wasafi, na mmiliki wake! Kwa miaka yote msanii aliyokuwepo kwenye hiyo kampuni, ameichangia zaidi ya bilioni 6 kupitia hiyo 60%!!!
Halafu umefika muda wa kujitegemea, unamtaka tena akulipe milioni 800!! Eti kwa ajili ya kuvunja mkataba! Nadhani busara ingetumika ili kupata muafaka.