KwakwelSimtetei Diamond, ila watu wanapaswa kuheshimu mikataba, kabla hujaingia mkataba na mtu yeyote usome vizuri mkataba ukiona ni wakinyonyaji achana nao, ikiwa njaa njaa zako zitakupelekesha jiandae kuvuna ulichopanda
Kwahiyo contract between two consent adults haina maana tena kinachofuatwa ni kufata liofisi limoja linaitwa "serikali" ili wapumbavu waliomo humo wakupendelee?Seriously million 800..Diamond wewe ni insane? au!
Msanii umemchua umeweka pesa baada ya miaka 2 umeanza kula 60 % zake baada ya kutaka kuvunja mkataba unasema million 800 for what. Acha upuuzi wewe.. Tatzo huna shule na hiyo mimeneja njaa inakuponza.
Umechukua zaidi ya billion 6 kwa asilimia 60 kwa Rayvanny hata nyimbo nyingi Raymond katoa kwa gharama zake.
Wewe ulilalama ruge anakunyonya kwann unanyonya wengine.. Utalaaniwa mbuzi wewe.
Raymond usitoe hata 100 la sivyo arudishe hizo asilimia 60 zaidi ya billion 6. komaa na serikali watakusaidia.. Diamond una roho mbaya
USA River?tulia wewe kolo la wasafi.. mm naishi usa asubuhi now hapa
jiwe limefikaMmmh Sio bure mkuu Umenifanya niende kucheki nyuzi zako huko nyuma nimegundua wewe na diamond mna ka uhasama fulani maana nyuzi za kumshambulia ilikua inatosha tu ulioituma juzijuzi
Sasa mbona umeandika kwa kufoka hivyo mkuu kua mtulivu au sema tukupe namba za hao wote wawili Vanny na Domo uogee nao umpe ushauri Vanny na Domo umpe ushauri kuhusiana na biashara zake
Tatizo linaanzia kwa watanzania wenyewe kua mkataba unapewa unausoma unaridhika unasaini bila kutushirikisha eti leo hii ndo mnaingilia mkataba yao yaani selikari iingilie iache mambo ya msingi
Kwani Vanny kipindi anamaisha magumu mlikua wapi nyie kumpa hiyo mikataba mizuri Vanny mwenyewe mbona hakukuomba ushauri kipindi anaenda wasafi leo hii eti Vaaniii uskubali je kumpigia simu ukamwambia
Tunatambua wote kwamba Rayvanny kipindi hajaingia kusaini wasafi maisha yake yalivyokua dj fetty ndie mtu wa kwanza kuona kipaji chake huko mbeya kwenye tamasha moja Fetty akamkabidhi Rayvanny kwa Babu tale
Badae kwenda kwa madee TipTop Kupitia kwa watu Mikono yoote hiyo ya watu waliompokea kwenye gemu Rayvanny hakuwahi hata kumiliki hata gari hata moja hata kiwanja
Rayvanny sasa ni boss ana majumba ana rebo ambayo ni faida alioitoa ya mziki wake sasa unapata nguvu wapi ya kumuita diamond mnyonyaji kama hi hivyo rayvanny asingekua hata na mkokoteni
Kila kitu uspende kutumia jina la ruge kwamaana hata ruge mwenyewe huwezi kumlinganisha na diamind kwenye biashara ya mziki maana diamond hakuogopa hasara hata kwenye video zake aliweka pesa nyingi mno mpaka watu tuliwaza atazirudishaje
Anawekeza ml500 kwa msanii mmoja Niishie hapo kwa kusema nitajie msanii alie wekezwa hata ml 300 na ruge Acheni kuwafananisha hao watu.
labda alikuwa anamaanisha bilion kwa pesa ya somali6MB za internet
Wewe unaongea kama Nani yake? Kwani kakuomba msaada umsaidie au shobo zako tuSeriously million 800..Diamond wewe ni insane? au!
Msanii umemchua umeweka pesa baada ya miaka 2 umeanza kula 60 % zake baada ya kutaka kuvunja mkataba unasema million 800 for what. Acha upuuzi wewe.. Tatzo huna shule na hiyo mimeneja njaa inakuponza.
Umechukua zaidi ya billion 6 kwa asilimia 60 kwa Rayvanny hata nyimbo nyingi Raymond katoa kwa gharama zake.
Wewe ulilalama ruge anakunyonya kwann unanyonya wengine.. Utalaaniwa mbuzi wewe.
Raymond usitoe hata 100 la sivyo arudishe hizo asilimia 60 zaidi ya billion 6. komaa na serikali watakusaidia.. Diamond una roho mbaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kmmkjiwe limefika
Seriously million 800..Diamond wewe ni insane? au!
Msanii umemchua umeweka pesa baada ya miaka 2 umeanza kula 60 % zake baada ya kutaka kuvunja mkataba unasema million 800 for what. Acha upuuzi wewe.. Tatzo huna shule na hiyo mimeneja njaa inakuponza.
Umechukua zaidi ya billion 6 kwa asilimia 60 kwa Rayvanny hata nyimbo nyingi Raymond katoa kwa gharama zake.
Wewe ulilalama ruge anakunyonya kwann unanyonya wengine.. Utalaaniwa mbuzi wewe.
Raymond usitoe hata 100 la sivyo arudishe hizo asilimia 60 zaidi ya billion 6. komaa na serikali watakusaidia.. Diamond una roho mbaya
Yaani suluhisho la kutolipa hiyo pesa hapo, Ni yeye kubadili jina na kuanza kujiita mfano Vannyboy, Rayvanilla, Raymond au Chui halafu afungue channel mpya kwenye digital platforms zote aanze maisha mapya.Usilipeeeee
Sema mavoko walimuonea maana alikuwa ameshatoka kimuziki na alikuwa amefika mbali kuchukua account yake ya YouTube ni uonevu mkubwa sana.Yaani suluhisho la kutolipa hiyo pesa hapo, Ni yeye kubadili jina na kuanza kujiita hata Raymond Chui halafu afungue channel mpya kwenye digital platforms zote aanze maisha mapya.
Kila kilichopo Wasafi awaachie.
Kiss Daniel walizinguana na Label yake akaanza kujiita KIZZ DANIEL maisha yakaendelea.
Mavoko alisepa wakapora digital platforms akaanzisha za Biliinea Kid maisha yakasonga.
Yeye Rayvanny aangalie kama mfukoni Bado Yuko vizuri, Anna myumba na magari na hanq uhakika na mziki wake asijilipue, awaachie Wasafi wanachotaka aanze upya huku akiwa huru wa kula na kulala.
Asinifanye mmakonde kuuza nyumba na magari kulipa madeni halafu mziki na wenyewe ukampa mkono wa kwa heri