Na serekali ya magufuli pia ishukuriwe.Ngoma alizotoa Rayvanny zinajiuza zenyewe Wala haziitaji promo.Unaweza kuombea bank mkopo ukapewa bila riba, zinatibu magonjwa sugu,zinaondoa stress bila kusahau zinaongeza nguvu za kiume big up kwa mbeya boy kwa kutupa kazi nzuri ila kwangu sweat Melody ndo best song kwangu ingawa zingine nazielewa.
Yule Mmakonde mwenzangu anavyopenda ligi na kujiona mkubwa atahisi hizi ngoma zimetolewa ili kumzima yeye.........kila mtu atambe na nyimbo zake[emoji16]
Ngoma alizotoa Rayvanny zinajiuza zenyewe Wala haziitaji promo.Unaweza kuombea bank mkopo ukapewa bila riba, zinatibu magonjwa sugu,zinaondoa stress bila kusahau zinaongeza nguvu za kiume big up kwa mbeya boy kwa kutupa kazi nzuri ila kwangu sweat Melody ndo best song kwangu ingawa zingine nazielewa.
Hivi nyie mnao comment halafu mnamalizia na
"sent from na sent using.." huwa inakujaga automatic au mnaandika?
kama mnaandika huwa hamchoki kuandika hivyo vitu,maana hamsahau naona.
Sina timu ya mzk Tanzania.. #Mshumaa itabaki ngoma yangu kali ya muda wote.. ikifuatiwa na hizi
Ni wewe - Ommy dimpoz
Chuki- Aslay
Atarudi - Harmonize
I miss U -Diamond
Samahan kwa kuwa nje ya Mada..
Sawa babajamaa mkali ila desing siku hizi kama anaimba same melodies...
Ngoma kwangu naona kawaida ila kwenye makulusa jamaa aliua sana baada ya hapo nikaja mkubari kwenye naogopa hizi mimi sikio langu halijazielewa
huyo wa local ana tuzo ya BET kabatini,hao wa kwako wa inteneshino wana nini zaidi ya marangi rangi kichwani na miwani za midoli....Huyu msanii bado yupo local
BuuuuWasaf wanajua kuliteka soko !! Wanajua kusoma game inataka nini .......na jamii inataka nini sio kama yule mpuuzi anayejiona anakipaji wakati anabeba na tour za kwenye mabanzi ya nguruwe kule tabora
Tuwe wakweli tu ...ktk historia ya mziki ..wasafi wameleta mapinduz makubwa kwenye game
sent from toyota Allex
AnaropokaMapinduzi Gani Waliyoyaleta ebu yaseme.. Au ndo unajiropokea
Hizi Ngoja za Kiunderground ndo Mapinduzi yenyewe?
Ww ni mpenz wa nyimbo za kusikiliza na sio za kubang , ongezea Tu na Ukimwona ya mond list itapendezaSina timu ya mzk Tanzania.. #Mshumaa itabaki ngoma yangu kali ya muda wote.. ikifuatiwa na hizi
Ni wewe - Ommy dimpoz
Chuki- Aslay
Atarudi - Harmonize
I miss U -Diamond
Samahan kwa kuwa nje ya Mada..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atiii..miwani ya midoli...!!!huyo wa local ana tuzo ya BET kabatini,hao wa kwako wa inteneshino wana nini zaidi ya marangi rangi kichwani na miwani za midoli....