Rayvany ameachia ngoma tano, wapendanao kazi kwenu sasa

Rayvany ameachia ngoma tano, wapendanao kazi kwenu sasa

WCB watafute wasanii wenye caliber ya ushindani kama wanataka kukuza lebo.

Ukimuondoa Diamond hawa waliobaki ni ushuzi tuu, HAKUNA WA KUZIBA PENGO LA RAJAB.

Wale wa mateam kaeni mbali, sipo hapa kupaka mtu kwa mgongo wa chupa.

Wasanii pekee waliobaki na u-serious wa kazi kwa sasa ni Diamond, Harmonize, Darasa, Maua Sama, Marioo, Weusi. Najua mtauliza Alikiba yuko wapi lkn huo ndio ukweli jamaa hana lake kwa sasa anabebwa na jina tuu, ila kazi hakuna kabisa kwa sasa.

Hao kina Rayvanny na Lavalava ni uchuro tuu, wanainajisi WCB bure tuu, watoke hapo, shubamiit.


Unforgetable
 
Kingsmann,

Mtoe darasa, maua na weusi, awapo serieus ila sijajua we u serieus ume uchukulia vipi mkuu


Sent using iphone
 
unaweza kusema IMO kumbe haimo ila watu wasikuelewe....
20 is 20.
 
jamaa mkali ila desing siku hizi kama anaimba same melodies...
Ngoma kwangu naona kawaida ila kwenye makulusa jamaa aliua sana baada ya hapo nikaja mkubari kwenye naogopa hizi mimi sikio langu halijazielewa
Makulusa inabidi ngoma yake kali kuzidi zote alizowahi kuimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa mkali ila desing siku hizi kama anaimba same melodies...
Ngoma kwangu naona kawaida ila kwenye makulusa jamaa aliua sana baada ya hapo nikaja mkubari kwenye naogopa hizi mimi sikio langu halijazielewa
NAHISI HAYA NDO MAPINDUZI ANAYOSEMEA JAMAA Hahahahaaaa... Apart from melodies kujirudia kwa nyimbo ambazo katoa kabla ya hizi tano Rayvan amekuwa anabana mno PUA ili sauti ionekane laini kwangu mm kafeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WCB watafute wasanii wenye caliber ya ushindani kama wanataka kukuza lebo.

Ukimuondoa Diamond hawa waliobaki ni ushuzi tuu, HAKUNA WA KUZIBA PENGO LA RAJAB.

Wale wa mateam kaeni mbali, sipo hapa kupaka mtu kwa mgongo wa chupa.

Wasanii pekee waliobaki na u-serious wa kazi kwa sasa ni Diamond, Harmonize, Darasa, Maua Sama, Marioo, Weusi. Najua mtauliza Alikiba yuko wapi lkn huo ndio ukweli jamaa hana lake kwa sasa anabebwa na jina tuu, ila kazi hakuna kabisa kwa sasa.

Hao kina Rayvanny na Lavalava ni uchuro tuu, wanainajisi WCB bure tuu, watoke hapo, shubamiit.


Unforgetable
Hivi u serious Wa kazi ni kutoa wimbo Kila mwezi?...Hahahahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WCB watafute wasanii wenye caliber ya ushindani kama wanataka kukuza lebo.

Ukimuondoa Diamond hawa waliobaki ni ushuzi tuu, HAKUNA WA KUZIBA PENGO LA RAJAB.

Wale wa mateam kaeni mbali, sipo hapa kupaka mtu kwa mgongo wa chupa.

Wasanii pekee waliobaki na u-serious wa kazi kwa sasa ni Diamond, Harmonize, Darasa, Maua Sama, Marioo, Weusi. Najua mtauliza Alikiba yuko wapi lkn huo ndio ukweli jamaa hana lake kwa sasa anabebwa na jina tuu, ila kazi hakuna kabisa kwa sasa.

Hao kina Rayvanny na Lavalava ni uchuro tuu, wanainajisi WCB bure tuu, watoke hapo, shubamiit.


Unforgetable
Kwa sababu hata huyo anaeonekana yupo serious above measure anateseka na Kiba peke yake ambaye unamuona hayupo serious..u serious siyo kutoa nyimbo 3 ndani ya mwezi mmoja Bro... Ni ubora Wa kazi husika mtu anakaa kimya miez 6,7,8 hadi mwaka akiachia TANZANIA inatulia inaskiza ngoma akina KIBA,FA,ROMA nk wanaepuka kukopi,melody kujirudia nk..hao Wa back to back ndo Mara wamenunua kolabo,Mara melodies kujirudia coz ya kutoupa ubongo kutulia na kuleta kitu kingine bora zaidi... Diamond alikuwa serious sana last year bt kaenda Sound city karudi mtupu why?..ni coz unaenda unajikuta upo category moja na mtu uliyemkop cc SOAPY ya NAIRA MARLEY na BABA LAO utatokea wapi?..anaenda mahali anaipiga Yope na watu wanajua Yope ni ya INNOS B is that a seriousness?..msanii tulia upe ubongo nafas achia ngoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taja Mapinduzi Waliyoyaleta si kupiga mboyoyo za Vijiwe vya visharobaro uchwara
Tatixo vijana wengine mmejaa roho za korosho , we huoni lebol yenye nguvu zaidi katika mziki wa Tanzania

Wanamziki wangapi waliokuwa na uthubutubkuwekeza katika mziki zaidi ya kuvaa vijinsi vilivyochanika

Na kuimba... Nyimbo za kubana pua ambazo hazieleweki

Hata uhakika wa maisha yao pia hayaeleweki

sent from toyota Allex
 
Wasaf wanajua kuliteka soko !! Wanajua kusoma game inataka nini .......na jamii inataka nini sio kama yule mpuuzi anayejiona anakipaji wakati anabeba na tour za kwenye mabanzi ya nguruwe kule tabora

Tuwe wakweli tu ...ktk historia ya mziki ..wasafi wameleta mapinduz makubwa kwenye game


sent from toyota Allex
Sio sawa kuwatusi wenzako ambao wamejaribu na kuthubutu. Wanaridhika na kidogo wanachokipata.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanapost kujisifia afu wanaitana twende kule tukakinukishe....

Mtu anayejitegemea ni bora kuliko mtu anayetegemea mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mapenzi makengeza mm simfuatiliaji wa mziki ila hapa Rayvany amepotea nyimbo zinafanana ladha, melody katika ngoma tano moja tu ndo nzuri hiyo mama lamama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom