Makasiriko ya nini?Halafu wakiumwa wanaanza kutembeza bakuli!
Wapumbavu sana hawa!
Kijana tumia pesa ikuzowee.Hawa wasanii wa bongo starehe zitawapeleka pabaya
Kibaya zaidi wakipata shida wanaenda kulia kweny mitandao ya kijamii na kuomba msaada
Mimi nadhani Wasanii wa bongo wanaitaji elimu ya uwekezaj
Wengi wao mziki ukiwakataa wanabak kuwa na Hali ngumu kimaisha
Sijaangalia hiyo clip lakini kuna kitu watu wnatakiwa waelewe: Asilimia kubwa ya mambo wanayosema wasanii ni usanii. Mfano msanii anaweza kusema katoa zawadi ya thamani kubwa kwa watu/mtu fulani kumbe kiukweli kapewa kitu chenye thamani ndogo kabisa.Maisha ni yake, msiba ni wetu…. zingatia hilo.
Acha makasiriko, tafuta hela broHawa wasanii wa bongo starehe zitawapeleka pabaya
Kibaya zaidi wakipata shida wanaenda kulia kweny mitandao ya kijamii na kuomba msaada
Mimi nadhani Wasanii wa bongo wanaitaji elimu ya uwekezaj
Wengi wao mziki ukiwakataa wanabak kuwa na Hali ngumu kimaisha
Ni kweliSijaangalia hiyo clip lakini kuna kitu watu wnatakiwa waelewe: Asilimia kubwa ya mambo wanayosema wasanii ni usanii. Mfano msanii anaweza kusema katoa zawadi ya thamani kubwa kwa watu/mtu fulani kumbe kiukweli kapewa kitu chenye thamani ndogo kabisa. Hivyo basi msanii akisema ametumia sh. milioni kumi kununua/kufanya jambo fulani ukitaka kupata kiasi cha ukweli alichotumia unahitaji kutumia formula hii: Chukua kiasi alichosema, gawanya kwa nne halafu tafuta square root ya jibu unalopata.
Akili za mtu maskini kitoka bara la afrika.Hawa wasanii wa bongo starehe zitawapeleka pabaya
Kibaya zaidi wakipata shida wanaenda kulia kwenye mitandao ya kijamii na kuomba msaada
Mimi nadhani Wasanii wa bongo wanaitaji elimu ya uwekezaji
Wengi wao mziki ukiwakataa wanabaki kuwa na Hali ngumu kimaisha