Tony Yeyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 729
- 555
Hawa wasanii wa bongo starehe zitawapeleka pabaya
Kibaya zaidi wakipata shida wanaenda kulia kwenye mitandao ya kijamii na kuomba msaada
Mimi nadhani Wasanii wa bongo wanaitaji elimu ya uwekezaji
Wengi wao mziki ukiwakataa wanabaki kuwa na Hali ngumu kimaisha
Kibaya zaidi wakipata shida wanaenda kulia kwenye mitandao ya kijamii na kuomba msaada
Mimi nadhani Wasanii wa bongo wanaitaji elimu ya uwekezaji
Wengi wao mziki ukiwakataa wanabaki kuwa na Hali ngumu kimaisha