Shida ni kua wakiumwa tunapata shida kuombwa kuchanga kaka
Unahisi kafanya bahati mbaya, kafanya ili habari ikufikie azungumziweHawa wasanii wa bongo starehe zitawapeleka pabaya
Kibaya zaidi wakipata shida wanaenda kulia kwenye mitandao ya kijamii na kuomba msaada
Mimi nadhani Wasanii wa bongo wanaitaji elimu ya uwekezaji
Wengi wao mziki ukiwakataa wanabaki kuwa na Hali ngumu kimaisha
Wanasema mdaiwa hafungwi.Deni la mkataba wake na Wasafi ameshalipa...?
Hahaah unachopata sasa, kidunchuuuuSijaangalia hiyo clip lakini kuna kitu watu wnatakiwa waelewe: Asilimia kubwa ya mambo wanayosema wasanii ni usanii. Mfano msanii anaweza kusema katoa zawadi ya thamani kubwa kwa watu/mtu fulani kumbe kiukweli kapewa kitu chenye thamani ndogo kabisa.
Hivyo basi msanii akisema ametumia sh. milioni kumi kununua/kufanya jambo fulani ukitaka kupata kiasi cha ukweli alichotumia unahitaji kutumia formula hii: Chukua kiasi alichosema, gawanya kwa nne halafu tafuta square root ya jibu unalopata.
Kuna kitu kimoja ambacho inaelekea watu wengi hatukijui.Hawa wasanii wa bongo starehe zitawapeleka pabaya
Kibaya zaidi wakipata shida wanaenda kulia kwenye mitandao ya kijamii na kuomba msaada
Mimi nadhani Wasanii wa bongo wanaitaji elimu ya uwekezaji
Wengi wao mziki ukiwakataa wanabaki kuwa na Hali ngumu kimaisha
Sijaangalia hiyo clip lakini kuna kitu watu wnatakiwa waelewe: Asilimia kubwa ya mambo wanayosema wasanii ni usanii. Mfano msanii anaweza kusema katoa zawadi ya thamani kubwa kwa watu/mtu fulani kumbe kiukweli kapewa kitu chenye thamani ndogo kabisa.
Hivyo basi msanii akisema ametumia sh. milioni kumi kununua/kufanya jambo fulani ukitaka kupata kiasi cha ukweli alichotumia unahitaji kutumia formula hii: Chukua kiasi alichosema, gawanya kwa nne halafu tafuta square root ya jibu unalopata.
Kaka unazungumzia komoni au ulanzi wa mil 5Milioni tano mbona hela ndogo tu kwenye pombe! Labda kama umezoea kula mataputapu. Halafu walevi wa mataputapu wana upendo, mmoja anakunywa anaingiza masharubu halafu anamtembezea mwingine. Eew