Rayvany hauna Mke hapa

Rayvany hauna Mke hapa

Wanaume wa vijijni..sio Lazima pochi nene kuwa na mtoto mkali..ndio maana mnakufa kwenye vifusi ili mje kutanua town..nyingine sound za kitaa
 
Tuko tofauti na hatuwez kufanana.

So hayo ni maisha yake...tumuache aishi apendavyo.
 
Na wakwe zake wanamuangalia tu,wakwe zake wamsaidie kumueleza jinsi takuvaa kwa staha,inaonekana suala la uvaaji hakuelekezwa nyumbani kwao.Pale alipoacha wazi,akiguswa kuna nywele zitakwaruzakwaruza.
 
Mzinifu ataolewa na mzinifu mwenzake au mshirikina!Tafakari hii kauli.
 
Vany boy nae anazingua sana ,wanyakyusa hatuna hizo pigo za ivo na inaonekana hana say kwa demu wake haiwezekan demu awe anajichoresha sana mitandaon we unamwacha tu ,mitandao ina mipaka yake .mbeya boy unatudharirisha wanaume wa mbeya nzima ,waige kaka zako izzo ,quickracka ,ay na wengine waliosettle kwenye mahusiano kiume zaid ,.
 
Wanawake wote wanapenda pochi, hata avae vitenge
Kijana tutake radhi haraka sana. jisemee mwenyewe na dada zako au wapenzi wako. Mama yako pia anavaa kitenge! Wanawake wawili watatu waliokuchuna wasituharibie majina, wanawake wengi tuna mapesa yetu tumechuma kihalali kabisa. Nikisena wanaume wote hawafai-kwa namna moja au nyingine wewe utajisikiaje?
 
Kaanza nae kitambo huyo isichukulie poa .. aliwahi weka picha yao ya TBT weusi tiii.
 
Matumbo kama hayo ni nadra sana kwa mabinti wa kibongo...

I think she is showing that..

Atakuwa hali viporo huyu.
Picha nzuri.
imenibidi nirudi juu kwa speed ya hatari kuiangalia picha vizuri (tumbo) housegirl wa bimkubwa yupo vizuri huyu mke wa rayvany anaweza akawa anafatafata kidogo sema mabint wengi wa kibongo wakiacha tumbo wazi tunaweza ziona hata zile minyoo live tunazoandikiwa na madoctor tukienda vituo vya afya hali tete sana mkuu
 
Back
Top Bottom