Akizungumza hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila amezungumzia namna ambavyo watu wengi wa Dar wanapenda na kutaka kumiliki ardhi.
Chalamila amesema kuwa kiuhalisia sio kila mtu anaweza kumiliki ardhi na badala yake kuwe na utaratibu wa watu kumiliki nyumba ambazo zimejengwa na mashirika ya umma.
Chalamila ametolea mfano kuwa kuna watu ambao wanafanya kazi Ilala lakini wanaishi Mlandizi. Amesema kuwa hayo ni mateso na kwamba ufike muda kuwe na utaratibu wa watu kuuziwa nyumba na mamlaka husika na sio viwanja.
======
Hivi Chalamila anajua bei ya nyumba za National Housing au anaongea tu kisa yeye anaishi nyumba ya bure Mikocheni, so anahisi kila mtu anaweza ku-afford?
Kama kungekuwa na nyumba za bei rahisi huko Ilala nani angeenda kukaa Bunju huko?
Akizungumza hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila amezungumzia namna ambavyo watu wengi wa Dar wanapenda na kutaka kumiliki ardhi.
Chalamila amesema kuwa kiuhalisia sio kila mtu anaweza kumiliki ardhi na badala yake kuwe na utaratibu wa watu kumiliki nyumba ambazo zimejengwa na mashirika ya umma.
Chalamila ametolea mfano kuwa kuna watu ambao wanafanya kazi Ilala lakini wanaishi Mlandizi. Amesema kuwa hayo ni mateso na kwamba ufike muda kuwe na utaratibu wa watu kuuziwa nyumba na mamlaka husika na sio viwanja.
Hivi Chalamila anajua bei ya nyumba za National Housing au anaongea tu kisa yeye anaishi nyumba ya bure Mikocheni, so anahisi kila mtu anaweza ku-afford?
Kama kungekuwa na nyumba za bei rahisi huko Ilala nani angeenda kukaa Bunju huko?
Ana point ya msingi mashirika yajenge nyumba na yauze kwa mfumo wa MORTGAGE hii inasaidia kupata mji uliopangika vizuri na kupunguza slams na kero nyingine, Wazungu hawanunui viwanja wananunua nyumba ukiona mzungu, muhindi au mwarabu kanunua kiwanja ujue ni commercial sio residential
Chalamila amesema kuwa kiuhalisia sio kila mtu anaweza kumiliki ardhi na badala yake kuwe na utaratibu wa watu kumiliki nyumba ambazo zimejengwa na mashirika ya umma.