Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Watu wa Dar mko wapi?
Akizungumza hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila amezungumzia namna ambavyo watu wengi wa Dar wanapenda na kutaka kumiliki ardhi.
Chalamila amesema kuwa kiuhalisia sio kila mtu anaweza kumiliki ardhi na badala yake kuwe na utaratibu wa watu kumiliki nyumba ambazo zimejengwa na mashirika ya umma.
Chalamila ametolea mfano kuwa kuna watu ambao wanafanya kazi Ilala lakini wanaishi Mlandizi. Amesema kuwa hayo ni mateso na kwamba ufike muda kuwe na utaratibu wa watu kuuziwa nyumba na mamlaka husika na sio viwanja.
======
Hivi Chalamila anajua bei ya nyumba za National Housing au anaongea tu kisa yeye anaishi nyumba ya bure Mikocheni, so anahisi kila mtu anaweza ku-afford?
Kama kungekuwa na nyumba za bei rahisi huko Ilala nani angeenda kukaa Bunju huko?
Akizungumza hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila amezungumzia namna ambavyo watu wengi wa Dar wanapenda na kutaka kumiliki ardhi.
Chalamila amesema kuwa kiuhalisia sio kila mtu anaweza kumiliki ardhi na badala yake kuwe na utaratibu wa watu kumiliki nyumba ambazo zimejengwa na mashirika ya umma.
Chalamila ametolea mfano kuwa kuna watu ambao wanafanya kazi Ilala lakini wanaishi Mlandizi. Amesema kuwa hayo ni mateso na kwamba ufike muda kuwe na utaratibu wa watu kuuziwa nyumba na mamlaka husika na sio viwanja.
======
Hivi Chalamila anajua bei ya nyumba za National Housing au anaongea tu kisa yeye anaishi nyumba ya bure Mikocheni, so anahisi kila mtu anaweza ku-afford?
Kama kungekuwa na nyumba za bei rahisi huko Ilala nani angeenda kukaa Bunju huko?