Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Fire jeshi la zimamoto na uokoaji makao makuu lipo kilomita moja kutoka hapo imachukua masaa manne kufika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani lini Dunia iliwahi kuwa yao?Ujumbe wa kuumiza sana😭😭😭View attachment 3153689
JW huwa wana magari yanapita na hiyo mitambo ya ujenzi si ipo Dar kweli!Nchi ya ajabu hii,masaa 4 kupata greda ndani ya jiji?
Ongea tu mtaalamu tutakusikiliza injinia, hofu ondoaUzi umejaa malalamiko kuliko comments za kitaalamu
Imagine na waziri mkuu akakubaliTul
Tuliwahi kuambiwa mtu kabomomoa mlango wa ndege kwa kasia la mtumbwi.
Zecomedy showHaya. Wanasiasa wabovu wameanza comed zao....
Aibu Kubwa SanaNchi ya ajabu hii,masaa 4 kupata greda ndani ya jiji?
Wanasubiri zabuni itangazwe ya uokoaji mambo ya kutumia mafuta bila kulipwa hapanaGrader kama Cat 140h inaweza kutembea ikapenya na kufika hapo, excavator kwa sababu ni chain ndio haiwezi kutembea, ila naamini hizi halmashauri za Dar es salaam zina wheel excavators ambazo zinaweza kuwa mobilized kwenye ajali haraka.
Wakandarasi kibao hapo Dar es salaam wana wheel excavator tena wengine wanaweza kuwa karibu na hilo eneo Kwa kuanzia zingeweza kuwa mobilized hapo na kuanza uokozi.
Wheel loaders zingeweza kuwa mobilized haraka na kuanza rescue huku Hesabu nyingine zikipigwa.
Nchi serikali kwenye uhokoaji zerooo kabisa
Serikali ipi hiyo ifanye hivyoGrader kama Cat 140h inaweza kutembea ikapenya na kufika hapo, excavator kwa sababu ni chain ndio haiwezi kutembea, ila naamini hizi halmashauri za Dar es salaam zina wheel excavators ambazo zinaweza kuwa mobilized kwenye ajali haraka.
Wakandarasi kibao hapo Dar es salaam wana wheel excavator tena wengine wanaweza kuwa karibu na hilo eneo Kwa kuanzia zingeweza kuwa mobilized hapo na kuanza uokozi.
Wheel loaders zingeweza kuwa mobilized haraka na kuanza rescue huku Hesabu nyingine zikipigwa.