RC Albert Chalamila: Gari lililobeba mitambo maalum liko njiani kwa ajili ya Uokoaji Kariakoo

Tangu lini nchi hii kwenye suala la uhokoaji wakaweza,nchi ikitokea majanga hesabuni viliooo tu

Ova
 
Ghorofa limeanguka huyu mjinga anasema hali ya usalama ni kubwa?
 
Binadamu ukisha mu-hold masaa matano tu sehemu yenye hewa ndogo na joto linalozidi nyuzi 40 hesabu umempoteza unless kuwe na hewa huko chini. So sad kwa kweli !Mungu atusaidie sana imagine mimi nimekaa nakunywa beer kumbe kuna binadamu mwenzangu amenasa kwenye gorofa lililoanguka!?? Mungu baba tusamehe
 
Na Tanzania kukabiliana na majanga zerooo kabisa
Alafu ikifika Dec ngapi ile utawaona wanavyojitutumuaaa
Kwenye parade zao

Ova
 
Katika hali ya dharura kama hii walipaswa wasafishe barabara inayoelekea hapo... Kuondoa foleni ya namna yoyote ile, kama na hiki pia hakikufanyika basi ni tatizo kubwa
 
Baafa ya kuona Chadema hawahusiki akaona ni tukio la kawaida halihitaji haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…