Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
RC Amos Makala ametema CHECHE ya kwamba ,kuhusu "vigodoro" na ngoma zake anavifahamu na ATAVIFANYIA KAZI.
Hii imekuja baada ya baadhi ya wanadarisalama kuchoshwa na "VIGODORO " na kuonekana kuwa ni CHANZO CHA UVUNJIVU WA MAADILI kwa watoto, vijana na wana ndoa.
#DarYaAmosMakalla
#KaziIendelee
Hii imekuja baada ya baadhi ya wanadarisalama kuchoshwa na "VIGODORO " na kuonekana kuwa ni CHANZO CHA UVUNJIVU WA MAADILI kwa watoto, vijana na wana ndoa.
#DarYaAmosMakalla
#KaziIendelee