darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Kuna uhaba wa madarasa SHULE za msingi na sekondari,maji Safi na salama,barabara, rushwa,ajira,kuboresha biashara nk. Haya ndio ya msingi.
Etii akataze Vigodoro? Akisikiliza hizo kelele za watu wa Mikoani waliokuja na kubahatika kuishi Da-slaam bila shaka jiji litamshinda
Etii akataze Vigodoro? Akisikiliza hizo kelele za watu wa Mikoani waliokuja na kubahatika kuishi Da-slaam bila shaka jiji litamshinda