RC Amos Makalla: Kuhusu "vigodoro" nitalifanyia kazi

RC Amos Makalla: Kuhusu "vigodoro" nitalifanyia kazi

Kuna uhaba wa madarasa SHULE za msingi na sekondari,maji Safi na salama,barabara, rushwa,ajira,kuboresha biashara nk. Haya ndio ya msingi.

Etii akataze Vigodoro? Akisikiliza hizo kelele za watu wa Mikoani waliokuja na kubahatika kuishi Da-slaam bila shaka jiji litamshinda
 
RC Amos Makala ametema CHECHE ya kwamba ,kuhusu "vigodoro" na ngoma zake anavifahamu na ATAVIFANYIA KAZI.

Hii imekuja baada ya baadhi ya wanadarisalama kuchoshwa na "VIGODORO " na kuonekana kuwa ni CHANZO CHA UVUNJIVU WA MAADILI kwa watoto, vijana na wana ndoa.

#DarYaAmosMakalla
#KaziIendelee
Dar es Salaam anaiweza PAUL MAKONDA tu!
 
Anao kibaooo tu ndio wanaompangia ratiba...tumpe muda
Kabisaa kiongozi wala hamna neno kabisaaa....wacha tumpe muda....kumbe kila kitu anafanya anapangiwa na watu.....
 
RC Amos Makala ametema CHECHE ya kwamba ,kuhusu "vigodoro" na ngoma zake anavifahamu na ATAVIFANYIA KAZI.

Hii imekuja baada ya baadhi ya wanadarisalama kuchoshwa na "VIGODORO " na kuonekana kuwa ni CHANZO CHA UVUNJIVU WA MAADILI kwa watoto, vijana na wana ndoa.

#DarYaAmosMakalla
#KaziIendelee
Makala anza na huku magomeni
 
SHISHA III !
1622144887933.png

 
Wanaopenda fujo za mtawala mama amesikia kilio chenu na amewaletea wa kuwafaa
 
Kuna uhaba wa madarasa SHULE za msingi na sekondari,maji Safi na salama,barabara, rushwa,ajira,kuboresha biashara nk. Haya ndio ya msingi.

Etii akataze Vigodoro? Akisikiliza hizo kelele za watu wa Mikoani waliokuja na kubahatika kuishi Da-slaam bila shaka jiji litamshinda
IMG_20210524_175533_349.jpg
 
Kuna matusi yanaimbwa na yako certified na jamii zote.Nani anahusika huko pia.
 
Huu sio wajibu wake sasa ana anza kuingilia starehe za watu Akomeshe kwanza ujambazi na wizi
Hapana huu Ni wajibu wake maana kuongoza watu wasio na maadili gharama yake Ni kubwa, nadhani vigodolo na kanga moja vilibaki Dar na pwani kwingine kite vilipigwa marufuku huko nako vipigwe marufuku tu vinaharibu watoto wetu ambao Ni taifa la kesho
 
RC Amos Makala ametema CHECHE ya kwamba ,kuhusu "vigodoro" na ngoma zake anavifahamu na ATAVIFANYIA KAZI.

Hii imekuja baada ya baadhi ya wanadarisalama kuchoshwa na "VIGODORO " na kuonekana kuwa ni CHANZO CHA UVUNJIVU WA MAADILI kwa watoto, vijana na wana ndoa.

#DarYaAmosMakalla
#KaziIendelee
RC, Mr. Makalla, pressing problems za watu wa Dar siyo vigodoro. Achana na cheap popularity!
 
Back
Top Bottom