Dar es Salaam anaiweza PAUL MAKONDA tu!RC Amos Makala ametema CHECHE ya kwamba ,kuhusu "vigodoro" na ngoma zake anavifahamu na ATAVIFANYIA KAZI.
Hii imekuja baada ya baadhi ya wanadarisalama kuchoshwa na "VIGODORO " na kuonekana kuwa ni CHANZO CHA UVUNJIVU WA MAADILI kwa watoto, vijana na wana ndoa.
#DarYaAmosMakalla
#KaziIendelee
Namkubali Mh.Makonda ila kwanini uweke "tu"?!!! Khaaaa 🤣Dar es Salaam anaiweza PAUL MAKONDA tu!
Kwasababu bado yupo hai na ana nguvu na uwezo wa kufanya kazi! Ahahahahahaha!Namkubali Mh.Makonda ila kwanini uweke "tu"?!!! Khaaaa 🤣
Kabisaa kiongozi wala hamna neno kabisaaa....wacha tumpe muda....kumbe kila kitu anafanya anapangiwa na watu.....Anao kibaooo tu ndio wanaompangia ratiba...tumpe muda
🤣🤣Kwasababu bado yupo hai na ana nguvu na uwezo wa kufanya kazi! Ahahahahahaha!
Makala anza na huku magomeniRC Amos Makala ametema CHECHE ya kwamba ,kuhusu "vigodoro" na ngoma zake anavifahamu na ATAVIFANYIA KAZI.
Hii imekuja baada ya baadhi ya wanadarisalama kuchoshwa na "VIGODORO " na kuonekana kuwa ni CHANZO CHA UVUNJIVU WA MAADILI kwa watoto, vijana na wana ndoa.
#DarYaAmosMakalla
#KaziIendelee
Aiseeee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Dar shauri yenu.
Huku Pwani hata Kama hatuna hela weekend tuna uhakika wa burdani.
🤣Makala anza na huku magomeni
Sio kila kitu ila ana washauri kibao pale ofisini kwake....mpeni muda ushauri plus mawazo yake atuongozeKabisaa kiongozi wala hamna neno kabisaaa....wacha tumpe muda....kumbe kila kitu anafanya anapangiwa na watu.....
Kuna uhaba wa madarasa SHULE za msingi na sekondari,maji Safi na salama,barabara, rushwa,ajira,kuboresha biashara nk. Haya ndio ya msingi.
Etii akataze Vigodoro? Akisikiliza hizo kelele za watu wa Mikoani waliokuja na kubahatika kuishi Da-slaam bila shaka jiji litamshinda
Hapana huu Ni wajibu wake maana kuongoza watu wasio na maadili gharama yake Ni kubwa, nadhani vigodolo na kanga moja vilibaki Dar na pwani kwingine kite vilipigwa marufuku huko nako vipigwe marufuku tu vinaharibu watoto wetu ambao Ni taifa la keshoHuu sio wajibu wake sasa ana anza kuingilia starehe za watu Akomeshe kwanza ujambazi na wizi
RC, Mr. Makalla, pressing problems za watu wa Dar siyo vigodoro. Achana na cheap popularity!RC Amos Makala ametema CHECHE ya kwamba ,kuhusu "vigodoro" na ngoma zake anavifahamu na ATAVIFANYIA KAZI.
Hii imekuja baada ya baadhi ya wanadarisalama kuchoshwa na "VIGODORO " na kuonekana kuwa ni CHANZO CHA UVUNJIVU WA MAADILI kwa watoto, vijana na wana ndoa.
#DarYaAmosMakalla
#KaziIendelee