Wanaogoopa nini kuiweka hapaMkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, ametoa namba yake ya simu ya kiganjani kwa wananchi wa mkoa huo kwaajili ya kutoa taarifa au kutuma ujumbe mfupi pale wanapouziwa sukari kwa bei ya juu tofauti na bei elekezi ya sh 2700 hadi 3200 na wafanyabiashara ili waweze kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Malima ametoa namba yake katika maadhimisho ya Kumbukizi ya miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyofanyika kimkoa katika Manispaa ya Morogoro.
Source - Nipashe
Sukari bei juuHata DC Ametoa namba kule Sumbawanga ila wafanyabiashara wameficha sukari,imekuwa kama bangi
Ndio hatua zinachukuliwa na shehena zinazidi kuingia,hata saizi Kuna meli inashusha sukari , Serikali imeagiza tani 50,000Sukari bei juu
Umeme katikakatika
Tatizo nini kwa viwanda vyetuNdio hatua zinachukuliwa na shehena zinazidi kuingia,hata saizi Kuna meli inashusha sukari , Serikali imeagiza tani 50,000
KIZIMKAZI hajui chochote kuhusu sukari n umeme. watanganyika tuliambiwa mwishoni mwa January kule kwenye bwawa la umeme wangewasha geneleta Moja kwanza. Mpk sasa bilabila. Na KIZIMKAZI kasahau alisema nn?
ningepewa nchi hii , wafanyabiashara wangekomaaHata DC Ametoa namba kule Sumbawanga ila wafanyabiashara wameficha sukari,imekuwa kama bangi
Tatizo limeelezwa kwamba mvua za kinyume na msimu zilijaza maji kwenye mashamba hivyo miwa imeshindwa kuvunwa ikizingatiwa pia Kila mwaka viwanda Huwa vinafanya Usafi miezi michache kabla ya mvua.Tatizo nini kwa viwanda vyetu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]SHENZ KABISA nimechekanipe namba yake niwape matapeli wale tuma namba hii pesa au huduma kwa wateja feki
Shida ni kwamba ukiwawndea pupa wanakimbia utafanyaje? Kumbuka kabla ya Mwendazake sukari ilikuwa haisumbui ila alipoanzaga kuingilia soko ndio Hadi Leo hii haijawahi tengamaa Kwa sababu Sheria zilizopitishwa zimewapa viwanda ndio wawe wanaagiza badala ya wafanyabiasharaningepewa nchi hii , wafanyabiashara wangekomaa
πππTatizo limeelezwa kwamba mvua za kinyume na msimu zilijaza maji kwenye mashamba hivyo miwa imeshindwa kuvunwa ikizingatiwa pia Kila mwaka viwanda Huwa vinafanya Usafi miezi michache kabla ya mvua.
Wanaujua ujinga wa watanzania, kwa ujinga wao watachukua namba.Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, ametoa namba yake ya simu ya kiganjani kwa wananchi wa mkoa huo kwaajili ya kutoa taarifa au kutuma ujumbe mfupi pale wanapouziwa sukari kwa bei ya juu tofauti na bei elekezi ya sh 2700 hadi 3200 na wafanyabiashara ili waweze kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Malima ametoa namba yake katika maadhimisho ya Kumbukizi ya miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyofanyika kimkoa katika Manispaa ya Morogoro.
Source - Nipashe