Hyo hela ya vitambulisho angemalizia Nyumba kijijini[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Gelasius Byakanwa pamoja na msanii wa Bongo fleva Harmonize wameacha gumzo kubwa wilayani Tandahimba kwenye mkutano na Wajasiliamali wadogo juu ya vitambulisho.
Gumzo la RC Byakanwa limekuja mara baada ya kukoleza msimamo alioutoa Rais Magufuli wa Mjasiliamali mdogo kutokusumbuliwa kwa kudaiwa ushuru wa aina yeyote ule jambo ambalo lilishangiliwa na Watu wengi.
Naye msanii Harmonize aliacha gumzo na shangwe kubwa kwa kuamua kuwalipia vitambulisho Wajasiliamali wadogo 50 kama sehemu ya kusherehekea kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake.View attachment 1046993View attachment 1046995
Sent using Jamii Forums mobile app
upo mfukoni kwake hadi hapo?Hyo hela ya vitambulisho angemalizia Nyumba kijijini[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jinsi alivyovaa.
Kwa hiyo na korosho ndiyo zimeuzwa?Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Gelasius Byakanwa pamoja na msanii wa Bongo fleva Harmonize wameacha gumzo kubwa wilayani Tandahimba kwenye mkutano na Wajasiliamali wadogo juu ya vitambulisho.
Gumzo la RC Byakanwa limekuja mara baada ya kukoleza msimamo alioutoa Rais Magufuli wa Mjasiliamali mdogo kutokusumbuliwa kwa kudaiwa ushuru wa aina yeyote ule jambo ambalo lilishangiliwa na Watu wengi.
Naye msanii Harmonize aliacha gumzo na shangwe kubwa kwa kuamua kuwalipia vitambulisho Wajasiliamali wadogo 50 kama sehemu ya kusherehekea kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake.View attachment 1046993View attachment 1046995
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo hela ya vitambulisho angemalizia Nyumba kijijini[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada kavurugwa
Ni mahaba ya kipuuzi tu
Kweli mgogo na mmakonde akili zao zinafananaMkuu huo ndio ujinga wa machinga yaani wameshasahau kuwa korosho zao zinaozea maghalani na pesa zao hadi sasa hawajui watalipwa lini
In God we trust
ile zawadi ya gari aliyomuahidi Shilole tayari ashampa? Maana hao machinga hamsini wanaweza kuishia kuahidiwa tu kama ShishiMkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Gelasius Byakanwa pamoja na msanii wa Bongo fleva Harmonize wameacha gumzo kubwa wilayani Tandahimba kwenye mkutano na Wajasiliamali wadogo juu ya vitambulisho.
Gumzo la RC Byakanwa limekuja mara baada ya kukoleza msimamo alioutoa Rais Magufuli wa Mjasiliamali mdogo kutokusumbuliwa kwa kudaiwa ushuru wa aina yeyote ule jambo ambalo lilishangiliwa na Watu wengi.
Naye msanii Harmonize aliacha gumzo na shangwe kubwa kwa kuamua kuwalipia vitambulisho Wajasiliamali wadogo 50 kama sehemu ya kusherehekea kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake.View attachment 1046993View attachment 1046995
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kavaaa uchi ?Hivi hawa wasanii wetu huwa hawana washauri wa mavazi?
Ni sahihi kwwnda kwenye shughuli kama hii ukiwa katika mwonekano huo alionao eti kisa msanii?
[emoji2398]