RC Chalamila: Afadhali Magufuli amekufa wakati ameshashinda Urais, angekufa wakati wa kampeni hali ingekuwa mbaya CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.

Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.

My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?

Ukinizingua Nitakuzingua
 

Yohane Mbatizaji wewe unaonaje๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Chalamila ni psychiatric case.
 
Niliiona clip wakati anaongea nilichogundua ana wasiwasi sanaaaa hajui kama atabaki kwenye nafasi au atachomolewa. Kwa lugha ya watoto wa mjini huwa wanasema ana Kihoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ