Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Naona anacheza tu na maneno na sio kauli yake ya kihuni.Akizungumza na wanahabari siku ya leo, Chalamila amesema kuwa kauli yake dhidi ya wamama wajawazito waliokosa hela imetumika vibaya ukizingatia kwamba sasa tuko kipindi cha Uchaguzi,
Chalamila amesema kwamba kuna haja ya watu kuangalia clip nzima ya video hiyo kwani kuna upotoshaji mkubwa unaendelea kutokana na sehemu ndogo tu ya clip hiyo kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii
Soma pia: RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani