RC Chalamila ahoji kama Bandari imeuzwa mbona soko la Ferry bado lipo. Asema waliopotosha wote wako ndani na wataendelea kukamatwa wakiibuka wengine

RC Chalamila ahoji kama Bandari imeuzwa mbona soko la Ferry bado lipo. Asema waliopotosha wote wako ndani na wataendelea kukamatwa wakiibuka wengine

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amesema lengo la Rais Samia ni kuongeza gati Ili kuhimili ushindanu wa kimataifa na wala siyo kuuza Bandari

Chalamila ameuliza kama kweli Bandari imeuzwa mbona Soko la Samaki Ferry bado liko? Mbona Wavuvi na Mitumbwi yao bado wapo?

Chalamila amesema wote waliopotosha kuwa Bandari Imeuzwa hivi sasa wako ndani na yeyote atakayeendeleza Upotoshaji atakamatwa mara moja, DSM ni jiji la Amani na kamwe haitakuwa sehemu ya vurugu na kutiana hofu

RC Chalamila alikuwa akihutubia Wafanyabiashara wa Soko la Samaki Ferry

Chanzo: Jambo TV

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Kuna ambaye ameona hii ni hoja sahihi ya kwamba kwakua wavuvi wapo basi hapajauzwa?

Kuna uhusiano wa bandari na soko la Ferry?

Nafikiri RC ameharibu kuonyesha kwamba wanaokamatwa ni yeyote atakayetaka kuongelea ishu ya bandari.
 
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amesema lengo la Rais Samia ni kuongeza gati Ili kuhimili ushindanu wa kimataifa na wala siyo kuuza Bandari

Chalamila ameuliza kama kweli Bandari imeuzwa mbona Soko la Samaki Ferry bado liko? Mbona Wavuvi na Mitumbwi yao bado wapo?

Chalamila amesema wote waliopotosha kuwa Bandari Imeuzwa hivi sasa wako ndani na yeyote atakayeendeleza Upotoshaji atakamatwa mara moja, DSM ni jiji la Amani na kamwe haitakuwa sehemu ya vurugu na kutiana hofu

RC Chalamila alikuwa akihutubia Wafanyabiashara wa Soko la Samaki Ferry

Source: Jambo TV

Mungu ni mwema wakati wote!
Huyo "Cha Wote" ni mfupi kwa kimo na kiakili.
 
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amesema lengo la Rais Samia ni kuongeza gati Ili kuhimili ushindanu wa kimataifa na wala siyo kuuza Bandari

Chalamila ameuliza kama kweli Bandari imeuzwa mbona Soko la Samaki Ferry bado liko? Mbona Wavuvi na Mitumbwi yao bado wapo?

Chalamila amesema wote waliopotosha kuwa Bandari Imeuzwa hivi sasa wako ndani na yeyote atakayeendeleza Upotoshaji atakamatwa mara moja, DSM ni jiji la Amani na kamwe haitakuwa sehemu ya vurugu na kutiana hofu

RC Chalamila alikuwa akihutubia Wafanyabiashara wa Soko la Samaki Ferry

Source: Jambo TV

Mungu ni mwema wakati wote!
Uuze Bandari ili iwaje?

Na ukiuza kwamba Serikali itaacha kupata hela zake pale au itakuaje Kiaje wajameni 😆😆

Kamata sukuma ndani hao
 
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amesema lengo la Rais Samia ni kuongeza gati Ili kuhimili ushindanu wa kimataifa na wala siyo kuuza Bandari

Chalamila ameuliza kama kweli Bandari imeuzwa mbona Soko la Samaki Ferry bado liko? Mbona Wavuvi na Mitumbwi yao bado wapo?

Chalamila amesema wote waliopotosha kuwa Bandari Imeuzwa hivi sasa wako ndani na yeyote atakayeendeleza Upotoshaji atakamatwa mara moja, DSM ni jiji la Amani na kamwe haitakuwa sehemu ya vurugu na kutiana hofu

RC Chalamila alikuwa akihutubia Wafanyabiashara wa Soko la Samaki Ferry

Source: Jambo TV

Mungu ni mwema wakati wote!
Aina ya Viongozi kama hawa wamebakia Tanzania pekee
 
Back
Top Bottom