amekua kidevu tuSasa amekua!
Mmmh,Hakuna episode mpyaAsishangae tutamkata yeye one day
Hata aliemteuwa hakubaliani nahiyo kauliyake.Kuna ambaye ameona hii ni hoja sahihi ya kwamba kwakua wavuvi wapo basi hapajauzwa?
Kuna uhusiano wa bandari na soko la Ferry?
Nafikiri RC ameharibu kuonyesha kwamba wanaokamatwa ni yeyote atakayetaka kuongelea ishu ya bandari.
Kuna wakati mtu akiwa anaongea mie huwa naona aibu amabe nasoma maneno yakeJamaa wakati mwingine awe ananyamaza tu.
Kumbe bandari inahusika na kuuza samaki?!
Hiyo ndio akili ya Rais wa Mkoa wa Dsm